darkweb kuna websites zakijinga, unaweza kumtafuta mtu umpe hela alafu akamuue mtu mwingine, unaweza kula nyama ya kibinadamu, unanunua drugs, weed, hela feki,
usipende kujionyesha kwenye mtandao mtu yoyote anaweza kutafuta information yako, kwa njiaya Doxing,
mpaka email, bank accounts kila...