hao jamaa wanatumia au wanakwenda na upepo wa fic ambao ni waanzilishi sasa kama unataka kuwa mwekezaji wa uhakika ishi na hii link https://mobile.fic.cc/signup?code=96222164
moro wakasome ccm hawana cha ngome mwaka huu hizo ngome hawazithamin wameuwa viwanda bandar kuna cha ungome hapo alaf nimesahau katani watatoka juu ya bati
hali ilikuwa si shwar uwanjani watu walizimia kila dakika kutokana na kukosa hewa na msongamano hivo mkutano ukahairishwa kwa kuofia usalama wa watu ni hayo tu
Umati mkubwa uliojitokeza viwanja vya tangamano jijini Tanga umepelekea mkutano kuarishwaa ili kupunguza watu na kuendelea ndani ya dakika tano
nasema haijawahi kutokea na haita tokea kweli Lowassa kipenz cha watu
#viva lowassa #viva ukawa
takwimu tanga 2010 ccm chini ya nundu kura elfu 30 cuf chini ya mbaruk 27 elf na mbunge wa chadema 7 elf kwa tathmin yangu na mambo aliyoyafanya nundu ni dhair ccm wameshapoteza muelekeo tanga mjini
habari za hapa jamvini
kwa kile kinachoendelea kwenye siasa zetu vuta nikuvute za hapa na pale muamko wa watu katika siasa na ushabiki kuongezeka maradufu na pressure za hapa na pale kwa kile kinachotokea kwenye kampeni
baada ya uchaguzi mambo haya kuwa kwenye chama kimoja wapo cha siasa kwa...
akielezea vizur maana ya mabadiliko na mageuzi anaingizia mabadiliko ambayo watanzania hawataki rushwaa akaendeleea akagusia kuwa kiongozi mtarajiwa anatakiwa asiwe tajiri hapa akaeleza kuwa huyu mtu akiwa tajiri atakwepa kodi na kadhalka hivi kiongozi akiwa masikini siatajilimbikizia mali ya...
ebwana eeh hapo kweli sera mbovu za ccm ndo zinatutesaaa mpaka leo saa hapa kwetu tanga unapunzika siku moja unarud siku moja lakini nafikir mkurugenzi wa tanesco tz anaficha ukweli saa hii inatia shaka kwa kweli hasa muelekeo wa uchaguz mbona Mungu atawaangaza safari hii na vitu visivojificha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.