Tanesco na luku mna tatizo gan Leo?nimenunua luku tangia saa kumi alfajiri..mpaka muda huu sijapata token .msaada please make samaki wangu anaoza kwenye friji na Niko gizan na mtoto Mchanga. Msaada
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyakato mwanza watumishi wenu wamezidi kwa rushwa jaman...pia kuna wengine wanatumia nembo ya tanesco kutuibia wateja...mifano ni mingi. Ukipeleka malalamiko kwa afisa usalama wa kanda ya mwanza unanyimwa fursa ya kuonana nae. Nikiweza ntawataja kwa majina na pia ofisi za Nyakato na mjni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.