Recent content by qurious

  1. Q

    Set nzima ya WIX

    Huwa unauza
  2. Q

    Let's be honest: Kwanini upo/ uliwahi kuwa single kwa muda mrefu?

    Kuna sàa unatamani umpende mtoto wa mtu Tena ila ukifikiria ya nyuma unasema moyo tulia wanaume punguzeni uongo na Dunia iwe sehemu salama basi
  3. Q

    Ni kipi ambacho unakihitaji sana muda huu? Someone might just surprise you

    Ndoto yangu ni kufanya kazi kwenye kampuni zinahusika na gesi madini na mafuta nimeshatembelea kwenye ofisi zao napewa MAJIBU matamu ila naamini ipo siku kiu yangu mwenyezi Mungu atamtumia mtu kuitimiliza.
  4. Q

    Msiba kwa wanaofanya biashara ya kuagiza vitu China

    Elezea basi vizuri tuelewe kumbuka na wewe mwanzo ulikuwa kipofu
  5. Q

    Msiba kwa wanaofanya biashara ya kuagiza vitu China

    Nashukuru watu mnavyofunguka naamini na wengine watapona kupitia hii thread japo wapo walioidharau mwanzo
  6. Q

    Soda za Coca Cola zimeadimika mtaani pia maziwa fresh ya packet

    Karibuni mnywe maziwa kwa bei yakitanzania mtindi lita tano ni 15.000
  7. Q

    ASAS boresheni maziwa yenu ya mtindi, hayana ladha nzuri

    Karibuni niwauzie maziwa mazuri ya mtindi yaliyoandaliwa kwa usafi wa hali ya juu bei ni 15.000
  8. Q

    Msiba kwa wanaofanya biashara ya kuagiza vitu China

    Kama una hiyo elimu ndugu ni vema ukashare na wengine wafaidike
  9. Q

    Msiba kwa wanaofanya biashara ya kuagiza vitu China

    Yaan umeeleza sawa sawia na wana majibu mabaya.
  10. Q

    Msiba kwa wanaofanya biashara ya kuagiza vitu China

    Watu wanalia toka mwaka jana wengine wanaamua kusamehe ila hao wadada ni matapeli wa kimataifa
  11. Q

    Msiba kwa wanaofanya biashara ya kuagiza vitu China

    Afadhali hata useme ndugu ni kilio sema kila mtu analia kimya kimya, wanachofanya ni kujifanya wanatangaza bidhaa nyingine ili wakusanye pesa walipe wale waliotangulia kulipa pesa za mizigo. Hadi hapo na wenyewe watakapolipwa pesa zao.
Back
Top Bottom