Asante sana Wakuu kwa ushauri wenu baada ya kukata kabisa ukaribu nae sasa hisia hazina nguvu nae....
nimeamua niachane nae kwa sasa kama wengi mlivyonishauri
nilichogundua Kipimo cha upendo wa kweli ni uvumilivu
Maana kwanini basi lichipuke na iwee na nguvu wakati yeye bado anasoma. Hisia...
Tuweni wakweli tu Russia alishindwa kufanya hivyo akiwa kama Soviet Union ataweza leo kweli? Huyu Russia juzi niliyemsikia Putin akilialia kwenye Bunge lake Marekani wailipe fidia Urusi kutokana na Vikwazo kuharibu uchumi wake???
Mkuu kuwa mkweli tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.