Kwani si ukachanje wewe ? Ukichanjwa hutaugua wewe sasa pilipili usizozila zakuwashia mini? Anayetaka akachanje usilazimishe mtu kwani kuna ajrnda gani nyuma mpaka iwe lazima!?
Kwa tulivyoelezwa na JPam kama yalikuwa kweli basi inasikitisha sana kwamba kuna watu wako tyr kulinda maslah yao kuliko ya Nchi duh ! Mbona hawakumjibu kwa kuitetea kuwa bandari hii Ina maslahi kwa Taifa ??!!! Aisee nimehuzunika, hatuna msimamo kila ajaye ana lake mmh
Huko waliko na hizo chanjo bado ugonjwa unaendelea usunbua kwa kasiya ajabu pamoja na kuchanjwa! Chanjo hizo sio suluhisho. Raid ana vyanzo vya habar vingi vinavyompa majumuisho, hivyo anattuongoza vena na hafuati mkumbooo! Mungu ndu awezaye kutusaidia na ndiye tunamkimbilia. Tuchukue tahdhar...
Huko waliko na hizo chanjo bado ugonjwa unaendelea usunbua kwa kasiya ajabu pamoja na kuchanjwa! Chanjo hizo sio suluhisho. Raid ana vyanzo vya habar vingi vinavyompa majumuisho, hivyo anattuongoza vena na hafuati mkumbooo! Mungu ndu awezaye kutusaidia na ndiye tunamkimbilia. Tuchukue tahdhar...
Ananyosha kidole kimoja kwa Nchi yetu amesahau kuwa vidole vinne vinamwelekea mwenyewe marekan. Kweli maandiko hayakukosea kuwa 'unatoa kibanzi kwenye hicho la mwingine wakati kwako kuna Boriti kubwa unalofanya huliooni?????? Kweli akili za kuambiwa changanya na zako by JK ! Hii ndio marikani...
Tunamhitaj JPM sana , tena akijaaliwa wananch wakaandamana kumtaka kwa mingine zaid na akakubal bac Nchi itapaa. Nchi zimemkubal had Corona imejua kuna JPM mwenye kumtanguliza Mungu. Viva JPM
Mpaka sasa bado wanaota Ikulu? Duh ! Nikamsikia mtoto mmoja akisema labda wanaota ikulu ya Malawi ! Hii ya TZ wasubir matokeo! Kama walitishia kuchukua Nchi bac ilikua 2015 sio 2020. Yetu macho na masikio ! Jiwe litaibuka mshindi kama lilivyo Imara.
Aliondoka Nyerere Kuna watu wakasema sasa shamba la bibi, lakin ashukuriwe Mungu yu nasi kila wakati na udhibiti wa amani ukaendelea vzr. Tunaye kiongoz JPM tunaamini Nchi iko salama.
Nàunga mkono hoja ! Safi kbsa! Hata vijana na walemavu wamepata nafac serkalini , kuwaacha wanqjesh wetu nyuma ndio kunakoweza sababisha hayo uwazayo lkn kwa sasa viva JPM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.