Anajoanda kuuza na madaraja. Hio itaifanya kabla ya 2015 apate mradi wa kuimgiza pesa haramu kama walivyouza nyumba za serikali na sasa zote zimepangishwa pesa mifukoni mwao
Duu umenikumbusha mbali sana Enzi za igwachanya na kitewasi. Utamu wa ulanzi (ulasi) ni kunywa asubuhi sana ukiwa mtoogwa (low alcohol percentage)ukinywa jioni unakuwa mdindifu High alcohol percentage na huu ndo unawachonga sana watumiaji. Hongera kwa aliyegundua ulanzi
Sioni tatizo kwa wanyaruanda kurudi kwao. waende wakaijenge nchi yao nasi watuachie TZ yetu. Ni ajabu wanasikitika kurudi kwao wanataka kukaa ugenini hadi lini? wengi wao wako kwenye mapori ya Burigi na biharamulo wasije siku moja wakasema eneo hilo ni lao na kuanzisha vurugu kama wanazofanya...
Ardhi ya Tanzania ni ya watanzania na siyo ya wanyaruanda na waganda, Eneo wanalochungia mifugo ni letu watanzania na ni kwa ajili ya mifugo ya watanzania. Huwezi kufugia Tanzania, uingize magonjwa ya mifugo nchini kwetu, upate huduma za kuzuia magonjwa kwa pesa ya watanzania, ukiuza pesa...
MKAO WA KULA; Ama kweli unasubiri kula, ukae mkao wa kula hadi utakapofikisha 50 uone joto lake. Ajira siyo uwaziri na ubunge zipo nyingi zinakusubiri amua sasa na anza kufanya kazi acha kulalamika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.