Recent content by QueenSafari

  1. Q

    Ukweli kuhusu wewe na dunia

    tena awambie tushazoea mateso. tunayapenda
  2. Q

    Ukweli kuhusu wewe na dunia

    me naona umeandika makorokocho tu, sijui OWO ndio imeni-affect!!!!!
  3. Q

    Amechoka kunivumilia anataka kuniacha!

    huyo mwanamke hakukupenda kaka, tusikudanganye tu hapa. Mapenzi ni kuvumiliana kwenye shida na raha. Kama huna ajira hakutaki siku ukikatika miguu itakuaje? kikubwa kama alivyokwambia huyo mzazi mwenzio weka juhudi zako kwenye kutafuta pesa utampata tu mwenza mwenye mapenzi ya kweli na...
  4. Q

    Wanawake kwanini mnasahau kupaka makalio mafuta?

    Me pia nmekutana na wanaume wa aina hiyo, ngozi ya t.a.k.o hadi inapata mba, wanaume badilikeni jamani
  5. Q

    Jombi, Jambazi aliyetisha wa Kimataifa aliyeishi Tanzania

    Jombi jirani yangu, ila nasikia aliokoka muda mfupi kabla hajafariki....." Kweli Bwana awajua walio wake"
  6. Q

    The king makers

    Interest,
  7. Q

    Itazame safu ya bodi na menejimenti ya ACACIA Mining Tanzania kisha utaelewa tatizo liko wapi

    Na hizi negative attitude towards investors tusahau Tanzania ya viwanda....
Back
Top Bottom