Recent content by Qudabash22

  1. Q

    Kwanini timu nyingi Ulaya zinatumia mfumo wa 3-4-3

    Sio martinez ..ni Rodgers
  2. Q

    Tatizo lolote la PC/device

    Pc yangu inarusha kwa mbaali kwenye sehemu ya keyboard..na ukihitaji kuongeza ram kutoka 2gb mpka 4gb ni sh ngapi!
  3. Q

    Tatizo lolote la PC/device

    Pc yangu inarusha kwa mbaali kwenye keyboard..ni hp core i 3 .
  4. Q

    Hawa ni wachambuzi bora wa mpira kwa sasa Tanzania. Pongezi zao

    1.d. Leaky 2.edo kumwembe 3.shaffih dauda 4.mwalim kashasha 5.jeff leah
  5. Q

    Best PC games

    Hivi pes 17 au fifa 17 unaweza kucheza kwenye galaxy note 3
  6. Q

    Mkutano wa CAF wapitisha maombi ya Zanzibar kuwa mwanachama huru

    Shirikisho la soka barani Afrika limepitisha bila kupingwa kuwa Zanzibar ni mwanachama wa CAF. Wanakuwa wanachama wa 55. Hawa ni baadhi ya wachezaji wenye asili ya zanzibar..wakijiandaa vizuri watakuwa na timu bora. Mwadini ally chollo mwinyihaji morris canavaro makapu Mudathir yahya Mohammed...
  7. Q

    Kwako boss

    USHAURI WA AKIBA KWA OMOG. Ubora wako ulithibitika toka ulivyokuja Tanzania pindi ulipokuwa unakinoa kikosi cha Azam(wana ramba ramba) na sasa bado unauthibitishia umma wa simba kwamba wewe sio wa nchi hii. Unajua kutake risk as coach,Tar 25 february ulifanya substitution ambayo kila mtu...
  8. Q

    Kama hukuwahi kuangalia hizi movie...

    Watoto 7... Cynthia roky... Cyborg
  9. Q

    Best PC games

    Poa poa..ngoja nifanye hvyo
  10. Q

    Best PC games

    Du solution yake..!!
  11. Q

    Best PC games

    Inaitwa AMD E1 -2100 WITH RADEON (TM) HD GRAPHICS 1.00 GHZ
  12. Q

    Best PC games

    Inaitwa AMD E1 -2100 WITH RADEON (TM) HD GRAPHICS 1.00 GHZ
  13. Q

    Best PC games

    Wadau...pc yangu pes 2016 inakwama kwama.....specs zake.. Ram 4gb 500gb Processor 1.0ghz...tatizo nn wakuu
Back
Top Bottom