Mbowe anastahili kutunukiwa shahada ya heshima ya siasa. Ni mbunifu, wapo watakaopinga lakini Chadema ilivyo leo ni juhudi mbalimbali za wanachama lakini hasa kwa maongozi ya Mwenyekiti
Nchimbi mwanzoni baada ya tano bora kupita akaja na kuropoka alidhani ameshavuka mto. Sasa amegutuka na kujua hata mchujo wa ubunge bado, sasa inabidi ajipendekeze ili aone kama atapitishwa Ubunge. Nchimbi una hali mbaya kisiasa!!
#Christine maelezo yangu yalikuwa yanajibu hoja ya mtu. Na mtu alijibiwa kutokana na maelezo aliyokuwa ameyatoa kwa hiyo kwako ukianza tu kusoma maelezo yangu bila kuona kile nilichokuwa nakijibu, hutaelewa. Chukua muda anzia mwanzo wa habari. Asante!
Naamini kama ni Media Kakobe kaanza muda sana, na kama kusikika kwenye media za Bongo ndio kujiona basi Kakobe angeliweza kujisifu sana.
Suala hapa Kakobe huwa hatafuti kujikomba komba kwa watawala, tangu nimeanza kumsikia askofu huyu misimamo ambayo amekuwa anaitoa ni misimamo ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.