2gezaWeCan
Member
- May 1, 2015
- 84
- 21
ulipaswa kuuliza hivi "CHADEMA kina jinsi ya kushughulikia swala la maadili ndani ya chama?"
"na ni kwa jinsi gani?"
Haya maswala ya kamati aka vitengo si hoja yenye nguvu.mfumo wa uendeshaji maswala ya CCM c lazma Uwe Sawa na vyama vingine.
"na ni kwa jinsi gani?"
Haya maswala ya kamati aka vitengo si hoja yenye nguvu.mfumo wa uendeshaji maswala ya CCM c lazma Uwe Sawa na vyama vingine.