Je, CHADEMA wanayo kamati ya maadili?

Je, CHADEMA wanayo kamati ya maadili?

ulipaswa kuuliza hivi "CHADEMA kina jinsi ya kushughulikia swala la maadili ndani ya chama?"
"na ni kwa jinsi gani?"
Haya maswala ya kamati aka vitengo si hoja yenye nguvu.mfumo wa uendeshaji maswala ya CCM c lazma Uwe Sawa na vyama vingine.
 
Mambo binafsi ya chumbani kwa mtu imetupunguzia au kutuongezea nn katika taifaletu?Angalia vitu vinavyotuletea umaskini katika nchi yetu kama ufisadi,uwizi,yaani namaanisha

Kuna wizara ya wanawake na watoto inayohusika na wanawake na watoto.Kutelekeza mke mwenye watoto na kwenda kwa vimada kulikofanywa na mbowe na slaa ni unyanyasaji wa wanawake waliowaacha na watoto wao kisaikolojia n.k kitendo hicho huwezi kukiita cha chumbani.Kutelekeza wake na watoto ni kuongeza idadi ya maskini katika taifa kwamba kabla ya kuachwa walikuwa si maskini lakini baada ya kutelekezwa wakawa maskini wa mawazo,fedha,n.k
 
Nikuulize swali rahisi sana; kuwa na Kamati ya Maadili bila maadili au kuwa na maadili bila Kamati ya Maadili kipi cha muhimu? Una macho huoni; una masikio husikii. Kusoma hujui hata picha nayo huelewi? Anyway, nenda pale Ufipa utajibiwa swali lako.
Picha niliyoiona ndo imenifanya niwaulize swali wenye majawabu siyo mapovu like u! kama povu ningenunua omo tu yatosha, teh...teh....!!
 
ulipaswa kuuliza hivi "CHADEMA kina jinsi ya kushughulikia swala la maadili ndani ya chama?""na ni kwa jinsi gani?"Haya maswala ya kamati aka vitengo si hoja yenye nguvu.mfumo wa uendeshaji maswala ya CCM c lazma Uwe Sawa na vyama vingine.
Wewe nijibu kwa kadri ya uelewa wako hili si swali la hesabu na siyo lazima ukariri kiasi cha kurekebisha swali?
 
Niseme kidogo katk nchi hii ukitaka useme nani kazaa na nani haituletei maana nikiwa na maana kwa takwimu wanaongoza kuzaa na wadada hovyo ni ccm ila ikitokea CDMA kosa,ni vigogo wangap wana watoto nje ya ndoa naona si swali la msingi
 
ulipaswa kuuliza hivi "CHADEMA kina jinsi ya kushughulikia swala la maadili ndani ya chama?"
"na ni kwa jinsi gani?"
Haya maswala ya kamati aka vitengo si hoja yenye nguvu.mfumo wa uendeshaji maswala ya CCM c lazma Uwe Sawa na vyama vingine.

We jamaa una akili sana, unatakiwa usome Havard kwa gharama za serikali.
 
chama ambacho maamuz yote ya juu yanafanywa na watu watatu bila kushirikisha wanachama wengine hakiwez kuwa na kamati ya maadili. the big 3 ndo kila kitu
 
Najua CCM wanayo kamati ya maadili kikatiba sasa nauliza tu kwa anayejua kama chadema wanayo pia? Angalizo: hii ni tofauti na 'kitengo' maana hili neno Kingunge kalitoa pale ubungo stand alipokuwa anakusanya ushuru.

Pale ndio pana kitengo kisicho rasmi kinachoratibu wapigadebe wa DSM yote na kufanya maamuzi yakiwemo kuratibu migomo ya drivers. Mimi naulizia kamati rasmi inayotambuliwa kazi zake kikatiba!

Jibu kwa upole bila mapovu!!
ya nini?maadili ni mbowe na lisu
 
Katiba ya CHADEMA iko online fungua uisome mkuu. Hata hivyo, kila chama kina kanuni na taratibu zake. Sio lazima katiba za vyama vyote zifanane na katiba ya CCM
Mkuu sijauliza kwanini hawana....teh....teh...! anyway nitaipitia katiba online, ahsante!
 
Najua CCM wanayo kamati ya maadili kikatiba sasa nauliza tu kwa anayejua kama chadema wanayo pia? Angalizo: hii ni tofauti na 'kitengo' maana hili neno Kingunge kalitoa pale ubungo stand alipokuwa anakusanya ushuru.

Pale ndio pana kitengo kisicho rasmi kinachoratibu wapigadebe wa DSM yote na kufanya maamuzi yakiwemo kuratibu migomo ya drivers. Mimi naulizia kamati rasmi inayotambuliwa kazi zake kikatiba!

Jibu kwa upole bila mapovu!!

Wanayo kamati ya majangili
 
We jamaa una akili sana, unatakiwa usome Havard kwa gharama za serikali.
Kama unamsifu mtu aliyejiuliza swali na kujijibu yeye mwenyewe basi wewe ndio tatizo zaidi yake yaani ni 'janga.'..teh...teh! jibu ilikuwa wanayo au hawana full stop...kwi...kwi...kwi!
 
Ile ya CCM iliyokata jina la Lowassa ni kamati ya Madili au kamati ya maadili? Mbona na yenyewe haikuwa na maadili?
 
Nikuulize swali rahisi sana; kuwa na Kamati ya Maadili bila maadili au kuwa na maadili bila Kamati ya Maadili kipi cha muhimu? Una macho huoni; una masikio husikii. Kusoma hujui hata picha nayo huelewi? Anyway, nenda pale Ufipa utajibiwa swali lako.

Hili nalo neno.
 
Mbona Slaa alipomwacha mkewe na kuchukua kimada Mushumbusi hiyo kamati mbona haikumshughulikia? Mbowe alipomzalisha Joyce Mukya mbona hiyo kamati haikumshughulikia?

Wee kweli chere hembu mtaje kiongozi yeyote ndani ya c asiye na kidumu bora huyu kaoa.
 
Mbona Slaa alipomwacha mkewe na kuchukua kimada Mushumbusi hiyo kamati mbona haikumshughulikia? Mbowe alipomzalisha Joyce Mukya mbona hiyo kamati haikumshughulikia?

Mkuu unataka wamzalishe bimkubwa wako ndio uwe na heshma na ndio uamini kwamba wana maadili?
 
Mbona Slaa alipomwacha mkewe na kuchukua kimada Mushumbusi hiyo kamati mbona haikumshughulikia? Mbowe alipomzalisha Joyce Mukya mbona hiyo kamati haikumshughulikia?

Kumbe vyama kazi zao ni kushughulikia ndoa!!! nilikuwa sijui kama chadema ni mahakama ya mambo ya ndoa!!!! Nilidhani vyama vya siasa kazi zake ni majukwaani siyo nani kaoa nani, kazaa nani, kaoa mke wa ngapi, kaolewa na nani, kaoa wapi.
Kama hayo ndio maadili ya chama yanayozungumziwa ndani ya kamati ya maadili ya CCM basi ndio maana nchi yetu ni maskini ya kutupwa na uwezo wetu wa kufikiri utakuwa umefikia kikomo!
 
Ile ya CCM iliyokata jina la Lowassa ni kamati ya Madili au kamati ya maadili? Mbona na yenyewe haikuwa na maadili?
Kwa mujibu wa Kingunge madili yanapigwa na 'kitengo' ila kamati ya maadili ipo tena kikatiba.
 
Back
Top Bottom