Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,199
mwache tuuuu ahangaike hata ubunge hakuni nao kwa staili hiyoo atapigwa na NEC hadi atajuta jina halirudi
we unadhani maisha ni kuwa mbunge tu ....acha kuwa na akili kama muuza ufuta
mwache tuuuu ahangaike hata ubunge hakuni nao kwa staili hiyoo atapigwa na NEC hadi atajuta jina halirudi
mimi pia mngoni.ila mngoni wewe sikukubari kwa sababu ni mwana LI-ccm.n'ndolahi hoti sura yaki yale pa avatari pala,ngeta naniliyu.lol
Tehetehetehetehe. Team Lowasa kwisha habari yao
Tehetehetehetehe. Team Lowasa kwisha habari yao
Nchimbi upo sawa, kwanza team lowasa mmehakikisha team Membe & jk hawatobozi 3 bora na kisha mmehakikisha wanawake hawachukui kitu. Hongera Magufuli kwa kuokota dodo chini ya mwarobaini maana haukukwa na ramani yoyote ya ikulu kilichokutokea ni kwamba " kifo cha tembo furaha ya mbwa mwitu"