educated, hard working, and supporting each other that is why. Supporting each other is what is being blamed as ubaguzi....a little bit of truth there!
Hii ligi ya kuchinja haitufikishi popote sanasana tunaonekana wapuuzi. Wakati nchi nyingine zinashupalia mambo ya maana sisi tumejikita kwenye haka za kuchinja. Halafu ukituangalia watanzania kwa karibu tulio wengi sio watu wadini hasa, ni lebel tu huyo muislam huyu mkristu lakini maisha yetu...
Jamani hii nchi hata ukiwa jembe vipi mifumo mibovu lazima itakukwamishe, tuna watu wazuri sana kiutendaji katika sector mbalimbali lakini matunda yao hayaonekani kwasababu ya mfumo mbaya
Amakweli watanzania ni kama tumechoka amani na utulivu; unakuwaje swala dogo kama kuchinja kuwa big deal nakusababisha fujo mpaka polisi wanaingilia kati. Kama ni kuchinja, kila mtu ana haki hiyo ilimradi hamlazimishi mtu mwingine kula; na kama ni nyama ya biashara basi busara itumike ilikusiwe...
Udini ulikuwepo kabla ya Kikwete ila ulikuwa chini kwa chini, sasa hivi umeibuka katika kipindi hiki cha kikwete kwasababu ya utandawazi uliochochewa na huru wa vyombo vya habari hasa mtandaoni. Lakini pia serikali hata viongozi hawakufanya jitihada zinazostahili kukabiliana na tatizo la udini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.