Recent content by quake

  1. quake

    Unatumia fridge ipi kati ya hizi?

    natumia la mafta taa la urithi😀😀
  2. quake

    Interference & Non interference engines

    kaka kuna gari nnayo noah sr40 inakata belt balaa inakua bado ni mpya kabisa. uzuri ni non interference so natembeaga na belt ya akiba tu ikikata naita fundi anabadilisha maisha yanasonga sijui shida ni nn
  3. quake

    Je, umesikia habari za Uhakiki wa Leseni na Cheti Uliposomea Driving kwa Madereva ?

    kila nikirenew huwa wananidai cheti ni kitu kipo tokea mda ila ndio hivyo mtu anapitisha hela kidogo anapewa leseni mpya.. labda kama watakomaa safari hii
  4. quake

    Toyota Succeed Cabin AC Air Filter

    ni kweli toyota succeed hazina hio kitu ipo sealed kabisa pale kwenye slot yake inapotakiwa kukaa
  5. quake

    Gari nyingi za Toyota za sasa ikishachemsha, fikiria kununua mswaki au engine complete nyingine

    hio taa ikiungua utajua tu maana ni lazima iwake wakati unawasha gari nahisi muda mwingine ni uzembe wa mtu kufuatilia
  6. quake

    Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

    Usimharibie biashara mwenzako bwana hapo ilipo hio nyumba ni kilima maji hayakaagi hapo labda ng'ambo ya lami kule
  7. quake

    Chimbo la Ream paper

    Hizi pale awale ni kama 42000 hivi bei yake imechangamka kidogo ila ana za A One na mondi ndio unapata kwa 33000 hadi 35000
  8. quake

    Bagamoyo Road kuna nini leo, mbona foleni kubwa sana?

    Mimi imenikutia boko dawasco imebidi nipite na njia ya mbweni kufika bunju
  9. quake

    Mama wa miaka 58, adaiwa kubakwa na vijana wawili

    [emoji16][emoji16] Sent using Jamii Forums mobile app
  10. quake

    Wazamani (wahenga) tukutane hapa

    Mia kwa lisaa unakamatia phoenix yako unazunguka wee mpaka basi Sent using Jamii Forums mobile app
  11. quake

    Kwa kilichonipata jana kuhusu vocha za TTCL nimekoma sina hamu tena

    Kama una line ya tigo Ingia tigopesa kwenye menu ya vocha na vifurushi chini kabisa utaona mitandao mingine then baada ya hapo chagua ttcl haukatwi chochote.. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom