kaka kuna gari nnayo noah sr40 inakata belt balaa inakua bado ni mpya kabisa. uzuri ni non interference so natembeaga na belt ya akiba tu ikikata naita fundi anabadilisha maisha yanasonga sijui shida ni nn
kila nikirenew huwa wananidai cheti ni kitu kipo tokea mda ila ndio hivyo mtu anapitisha hela kidogo anapewa leseni mpya.. labda kama watakomaa safari hii
Kama una line ya tigo Ingia tigopesa kwenye menu ya vocha na vifurushi chini kabisa utaona mitandao mingine then baada ya hapo chagua ttcl haukatwi chochote..
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.