We do not export tourism but we earn forex through tourist gains. We earn export by selling Minerals (Gold, tanzanite, nickel, and other precious metals), Agricultural products (Tobacco, coffee, tea sisal, etc), horticulture (flowers ornaments, etc) fish and fish products, seafood and...
Walikuwa wachache sana wakati huo yaani "endangered Spish" lakini kumbuka kuwa hivi Vitabu havijafanyiwa update ndiyo maana hiyo katazo bado ipo vitabuni lakini kiuhalisia huko Mitaani Kitimoto, Sungura, Ngamia na Kambale ndiyo habari ya Mjini.
Kwani Wanawake wao wanaangali wapi. Ni suala la ushabiki na penye washabiki wengi huwa ni Uwanjani kwenye live game, kwenye Baa, Vibanda umiza na migahawa mikubwa
Wenzenu huko Israel wanapanga na wanatekeleza walichopanga siyo kurusha makombora hewani kama exhibition au ceremonial festivals. Yetu macho na masikio tusubiri ni suala la muda tu.
Kwa maoni yangu Rais Samia amewashinda Wajerumani kutokana na kutumia fursa ya ukuaji wa Technologia ambayo imewezesha Nchi sasa kujenga Reli ya Kisasa Standard Gauge Railways kwa kutumia mapato yetu ya ndani (Hata kama tumekopa)
Basi wachukue hiyo kadi na ili kila hela ikingia kwenye Akaunti yako wachukue kiasi hadi hapo deni lao litakapoisha.
Tahadhari usiwape namba yako ya siri na ingependeza kama mtakubaliana kuwa utakuwa unalipa kiasi gani kwa mwezi.
Nadhani ni jina la mwadhirka au mgunduzi wa mwanzo. Inaweza kuwa jina lake halisi au nick name yake...na wakati mwingine wanabatiza kwa namba... ambayo kwa maoni yangu inaashiria reg. Na. Ni mawazo yangu lakini sina vyanzo vya uthibitisho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.