BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,041
- 10,463
Mtu ambaye amepitia struggle ya kudaiwa kiwango cha pesa ambacho kipo nje ya uwezo wake atakuwa ashaelewa nini namaanisha.
Mfano unafanya kazi unalipwa 500,000/= per month una madeni sehemu tofauti lakini Total ya madeni yako ni 10,000,000/= ikumbukwe kwamba kwenye hayo madeni kuna madeni umiza(yaani kadri unavyochelewa kulipa ndivyo kiasi unachodai kinaongezeka).
A part from that wewe ni Baba, Mume, Kaka na mtoto unategemewa na kuhakikisha kuwa panapotokea tatizo basi liwe under control kwa kutumia akili na uwezo wako.
Bila ya kusahau kuwa gharama za maisha zipo palepale
Kwa situation kama hii unahitajika muujiza tu kulipa hiyo pesa sasa nikikubali na kukiri siwezi kulipa madeni yangu je kisheria ntachukuliwa hatua gani?
Mara mwisho nilisikia Zambia ilikiri kushindwa kulipa madeni yake lakini heri Zambia sababu ni nchi wanaweza binafsisha serikali.
Mfano unafanya kazi unalipwa 500,000/= per month una madeni sehemu tofauti lakini Total ya madeni yako ni 10,000,000/= ikumbukwe kwamba kwenye hayo madeni kuna madeni umiza(yaani kadri unavyochelewa kulipa ndivyo kiasi unachodai kinaongezeka).
A part from that wewe ni Baba, Mume, Kaka na mtoto unategemewa na kuhakikisha kuwa panapotokea tatizo basi liwe under control kwa kutumia akili na uwezo wako.
Bila ya kusahau kuwa gharama za maisha zipo palepale
- Kodi ya nyumba
- Chakula
- Bili za umeme na ving'amuzi
- Mavazi
- Ada. etc
Kwa situation kama hii unahitajika muujiza tu kulipa hiyo pesa sasa nikikubali na kukiri siwezi kulipa madeni yangu je kisheria ntachukuliwa hatua gani?
Mara mwisho nilisikia Zambia ilikiri kushindwa kulipa madeni yake lakini heri Zambia sababu ni nchi wanaweza binafsisha serikali.