Ndugu wana Jamii, tunafahamu hali ya taifal letu jinsi lilivyopigwa ububu ktk uwanja wa habari. Hali ya kisiasa ilivyo ya kibaguzi, wanasiasa wanavyokamatwa na kufunguliwa kesikama sehemu ya unyanyasaji.
Mkombozi Yesu Kristo ni mfalme wa Amani. Ni matarajio yangu kiona na kisikia watumishi wa...
Yaani huyu bwana ngeve amekuwa wa ajabu. Anajua kwenye vyombo hivi kuna kuna tivi na radio ambazo hueaburudisha wasafiri kwa nyimbo za dini na muvi mbalimbali. Kweli ameshikiwa akili. Tatizo gani lilitokea kwa watu kuzungumzia siasa au dini wawapo safarini? Yeye kamamtaalam anaweza akaweka...
Yaani wamekula nchi imebaki makombo. Sasa wanaposhindwa kula makombo wanaamua kula na watu wanaojielewa. Atakayefuata atauza nyasa malawi, victoria kenya na uganda,bahari kwa wa china nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.