Recent content by qinglong

  1. qinglong

    Je Kati ya dalali na mwenye kiwanja nani yupo sahihi

    Hizi asilimia 2 au 10 mnakubaliana mwanzoni kabisa, na zinakua kwenye bei ya manunuzi kati ya mwenye eneo na dalali husika. Kwa kesi yetu hapo juu, kiasi kilichoongezeka hakihusiani na mwenye eneo isipokua bei halisi ya manunuzi. Mara nyingi wenye maeneo hawajui ilivyo kazi ngumu kupata...
  2. qinglong

    Wakati nikiwa shule ya msingi tulikuwa na monitor wa ajabu sana(kwa sasa ni marehemu)

    Pole sana mkuu, mi nilishawahi kua monitor majina nikiandika jumatatu ni hayohayo nayatumia wiki nzima, yani nilikua sina muda wa kuandika upya...nayatunza akija ticha nampa yaleyale tu
  3. qinglong

    Watu tumekuwa wakatili zaidi ya wanyama aisee

    Mkuu poleni na maswahibu yaliyowakuta.
  4. qinglong

    FIC football investment walitufisadi na kukimbia! Leo ndo siku yao – watu wakubwa watajwe, tunataka haki!

    Mwanaharakati wa WANYASA Tanzania, huu utapeli uliofanyiwani wa 1960's huko ulaya na mataifa yaliyoendelea. Endelea kuendekeza tamaa ya pesa ya haraka...wakianza kutumia utapeli wa 1990's utatapeliwa tena wewe na WANYASA wenzio wenye tamaa ya pesa ya haraka. Pole.
  5. qinglong

    Hizi ni dawa za nini na zinatibu nini?

    Nimezi google mkuu.....wanasema ni za kuzuia na kufubaza virusi vya ukimwi.
  6. qinglong

    Ama kweli kusikia kwa kenge mpk atoke damu puani!.

    Nimesoma hii story nimecheka sana....nimefurahi pasipo kutarajia
  7. qinglong

    Ama kweli kusikia kwa kenge mpk atoke damu puani!.

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂....dah dunia hii raha sanaa
  8. qinglong

    Ivi hili inawezekana kwel? Ebu ndugu zangu njooni mtusaidie.

    Kuna syndrome ila nimeisahau jina...ni kua mtu anayetamani sana kupata mtoto hupata dalili zote za mimba lakini kiuhalisia anakua hana. Sasa nadhani kwa mkeo itakua iyo kitu...pole mkuu.
  9. qinglong

    Jina gani la utani huwa unamuita mpenzi wako linaloshangaza

    Fat Bambula...ni lichubby fulani litamulitamu.
  10. qinglong

    Income tax kwa wanandoa

    Kwa ninavyoelewa Capital Gains unalipia 10% ya value ya Property wakati huo hata kama imetolewa kwa njia ya zawadi...kama ilivyo kwa baba yako na mama yako.
Back
Top Bottom