Recent content by qinglong

  1. qinglong

    JamiiForums Tanzania Kwa hili, namsaidiaje binti yangu?

    Hii naweza kuitolea ufafanuzi kama muhanga...mzee wangu alituchukua mm na mdgo wangu kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine kwa mama mwingine....nilikua nina miaka 5 mdg angu alikua na 1.5...nilikuja kumuona mama yangu nikiwa na miaka 7 Sasa basi mpaka utu uzima huu sina kabisa mpnz na mama...
  2. qinglong

    JamiiForums Tanzania Serikali ya jiji Dodoma imetoa amri kubomoa nyumba yetu na kuondoka ndani ya siku 7

    Hati yako iko wapi mkuu?!
  3. qinglong

    JamiiForums Tanzania Msaada wa namna ya kupata hati ya nyumba mkoa wa arusha

    Share namba yako PM.
  4. qinglong

    JamiiForums Tanzania Je Kati ya dalali na mwenye kiwanja nani yupo sahihi

    Hizi asilimia 2 au 10 mnakubaliana mwanzoni kabisa, na zinakua kwenye bei ya manunuzi kati ya mwenye eneo na dalali husika. Kwa kesi yetu hapo juu, kiasi kilichoongezeka hakihusiani na mwenye eneo isipokua bei halisi ya manunuzi. Mara nyingi wenye maeneo hawajui ilivyo kazi ngumu kupata...
  5. qinglong

    JamiiForums Tanzania Viwanja goba kulangwa karibu na hermab boys school

    Vimepimwa?!
  6. qinglong

    JamiiForums Tanzania Wakati nikiwa shule ya msingi tulikuwa na monitor wa ajabu sana(kwa sasa ni marehemu)

    Pole sana mkuu, mi nilishawahi kua monitor majina nikiandika jumatatu ni hayohayo nayatumia wiki nzima, yani nilikua sina muda wa kuandika upya...nayatunza akija ticha nampa yaleyale tu
  7. qinglong

    JamiiForums Tanzania Watu tumekuwa wakatili zaidi ya wanyama aisee

    Mkuu poleni na maswahibu yaliyowakuta.
  8. qinglong

    JamiiForums Tanzania FIC football investment walitufisadi na kukimbia! Leo ndo siku yao – watu wakubwa watajwe, tunataka haki!

    Mwanaharakati wa WANYASA Tanzania, huu utapeli uliofanyiwani wa 1960's huko ulaya na mataifa yaliyoendelea. Endelea kuendekeza tamaa ya pesa ya haraka...wakianza kutumia utapeli wa 1990's utatapeliwa tena wewe na WANYASA wenzio wenye tamaa ya pesa ya haraka. Pole.
  9. qinglong

    JamiiForums Tanzania Hizi ni dawa za nini na zinatibu nini?

    Nimezi google mkuu.....wanasema ni za kuzuia na kufubaza virusi vya ukimwi.
  10. qinglong

    JamiiForums Tanzania Ama kweli kusikia kwa kenge mpk atoke damu puani!.

    Nimesoma hii story nimecheka sana....nimefurahi pasipo kutarajia
  11. qinglong

    JamiiForums Tanzania Ama kweli kusikia kwa kenge mpk atoke damu puani!.

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂....dah dunia hii raha sanaa
Back
Top Bottom