Hizi asilimia 2 au 10 mnakubaliana mwanzoni kabisa, na zinakua kwenye bei ya manunuzi kati ya mwenye eneo na dalali husika.
Kwa kesi yetu hapo juu, kiasi kilichoongezeka hakihusiani na mwenye eneo isipokua bei halisi ya manunuzi.
Mara nyingi wenye maeneo hawajui ilivyo kazi ngumu kupata...
Pole sana mkuu, mi nilishawahi kua monitor majina nikiandika jumatatu ni hayohayo nayatumia wiki nzima, yani nilikua sina muda wa kuandika upya...nayatunza akija ticha nampa yaleyale tu
Mwanaharakati wa WANYASA Tanzania, huu utapeli uliofanyiwani wa 1960's huko ulaya na mataifa yaliyoendelea.
Endelea kuendekeza tamaa ya pesa ya haraka...wakianza kutumia utapeli wa 1990's utatapeliwa tena wewe na WANYASA wenzio wenye tamaa ya pesa ya haraka.
Pole.
Kuna syndrome ila nimeisahau jina...ni kua mtu anayetamani sana kupata mtoto hupata dalili zote za mimba lakini kiuhalisia anakua hana.
Sasa nadhani kwa mkeo itakua iyo kitu...pole mkuu.
Kwa ninavyoelewa Capital Gains unalipia 10% ya value ya Property wakati huo hata kama imetolewa kwa njia ya zawadi...kama ilivyo kwa baba yako na mama yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.