Dah mkuu umeelezea kiufupi ila vizuri mno, Hapo ni kama nmesoma kitabu cha Page 200 ndani ya Page 5 tu, Hongera.
Kwa Makala nyingine kama hizi uniTag Tafadhali🙏🏽
Na Vipi Kuhusu Ukasanyaji wa Kodi, Utaongeza vyanzo vipya vya mapato kama vipo vitaje au utatumia njia zipi kuhakikisha kodi zinakuwa na tija kwa maendeleo ya nchi ili ziwe moja ya kichocheo cha watu kufungua Akaunti za Benki
Mkubwa Lucas Mwashambwa kwa staili hii na hali ilivo naona ni kama unajipaka mavi sokoni, kuna mijadala sio ya kuizua kipindi kama hiki ambacho wadau hawaelewi nini kinaendelea, msifie Mhe Rais kwa unayoyaona yamefanyika ila ukileta mjadala wa kuongeza miaka ya kuongoza tena kwa kipindi hichi...
Tatizo dogo tu ilo ni P.I.D hiyo na Dawa za kuondoa tatizo kabisa zipo Mkuu, Kuna magome ya kuweka kwenye maji ya moto kwenye chombo ambacho ataweza kukalia akiwa uchi kwa wastani wa dk 15 tu ule mvuke uingie vizuri ndani ya wiki tu kwisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.