Huwa watu wengi ujiuliza swali hilo lakini majibu yake huwa magumu na wahenga husema usicho kifahamu wewe basi jaribu kumuuliza mwezio anaweza kukusaidia.
Leo asubuhi ya tar 21/06/2023 ameonekana mnyama aina ya kakuona katika kijiji cha Kipala mapakani Kongowe kata ya Mwandege wilaya ya Mkuranga wakamuweka katika ofisi ya kijiji watu wamuwekea vitu mbalimbali lakini kagoma kungusa kitu chochote!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.