Upuuzi ni ule uliofanywa kupora haki za wananchi ili kujifurahisha na familia zao ,xaxa embu tuone wakatekeleze ahadi zao si walisema walisema hawategemei mabeberu tunajitosheleza
Kazusha watu kutokuajiriwa,kazusha watu kutekwa ,kazusha watu kupigwa risasi mchana kweupe ,kazusha kauli za dhihaka kwa waliopatwa na majanga ya asili ,kazusha viongozi wa serikali kujimilikisha ardhi ya wananchi, pia kazusha wizi uliofanyika kuwauzia vitambulisho wamachinga bila risiti tuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.