Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Kumkubali mtu kuwa yupo vizuri sio mpaka utamke maneno, uweza kukubali hata kwa kutikisa kichwa au kukaa kimya.
Tujihoji kwa umakini, kama Chama cha Upinzani makini hapa nchini utakaa kimya kama haungi mkono yanayofanywa na chama tawala?
Kwanini uchukue ruzuku na kuitumia ili hali unajua ni haramu? Ndio maana hatusikii viongozi wa Chadema wakitoa matamko? Kwahiyo wameamua kuunga juhudi kimyakimya?
Ok, basi kama mnaunga juhudi tunataka tamko la Chadema kuunga juhudi rasmi kama wenzao ACT Wazalendo. Kulikoni kuunga kimyakimya kama binti aliyetoroshwa na kufunga ndoa ya kimyakimya kisha baada ya miaka 3 mnakuta amezalishwa watoto wanne na kutelekezwa.
Tujihoji kwa umakini, kama Chama cha Upinzani makini hapa nchini utakaa kimya kama haungi mkono yanayofanywa na chama tawala?
Kwanini uchukue ruzuku na kuitumia ili hali unajua ni haramu? Ndio maana hatusikii viongozi wa Chadema wakitoa matamko? Kwahiyo wameamua kuunga juhudi kimyakimya?
Ok, basi kama mnaunga juhudi tunataka tamko la Chadema kuunga juhudi rasmi kama wenzao ACT Wazalendo. Kulikoni kuunga kimyakimya kama binti aliyetoroshwa na kufunga ndoa ya kimyakimya kisha baada ya miaka 3 mnakuta amezalishwa watoto wanne na kutelekezwa.