Idadi ya wabunge tarajiwa ACT-Wazalendo inawabeba dhidi ya CHADEMA Bungeni, kama Zitto akishinda Ubunge kuwa KUB

Ndugu zangu,

Hii inatokana na uzoefu wa kura za Wazanzibar hususani wapemba ambao hupiga kura kutegemea chama anachotoka Maalim Seif. Kama hali itakuwa hivyo ACT wana uhakika wa wabunge angalau 20 kutoka Zanzibar kitu ambacho CHADEMA au chama kingine hakiwezi kupata wabunge kumi (10) nchi nzima.

Kwa siasa za kibunge zilivyo; chama cha upinzani chenye wabunge wengi bungeni ndicho chenye mamlaka ya kuunda kambi rasmi ya upinzani bungeni na kwa kuzingatia turufu ACT-Wazalendo wanayotarajia haswa kuwa na wabunge toka Zanzibar ni dhahiri wataongoza upinzani bungeni na kama Zitto akishinda ubunge basi ni KUB ajaye.

Uhalisia ulivyo ni kwamba baadhi ya wabunge wa CHADEMA walimaliza muda wao wameonekana kutumia turufu ya umaarufu wao na ''ustaafu'' (incumbency) kwenye kampeni lakini ''vote dynamics' zinawakataa na hapa ndipo ninampongeza kijana wangu John Mnyika aliyesoma alama za nyakati vema baada ya kuona kiza mbeleni na kuamua kustaafu siasa za bungeni.

Namuona Tundu Lissu akiweka nguvu angalau kupata wabunge na hatimaye kura ambazo zitasaidia kupata ruzuku na fursa ya u-KUB lakini hali ni tete sana kulingana na uhalisia uliopo.

Hoja kwa hoja, utafiti kwa utafiti.
Umefanya utafiti wapi? Elezea toa data, shawishi watu
 
Ndugu zangu,

Hii inatokana na uzoefu wa kura za Wazanzibar hususani wapemba ambao hupiga kura kutegemea chama anachotoka Maalim Seif. Kama hali itakuwa hivyo ACT wana uhakika wa wabunge angalau 20 kutoka Zanzibar kitu ambacho CHADEMA au chama kingine hakiwezi kupata wabunge kumi (10) nchi nzima.

Kwa siasa za kibunge zilivyo; chama cha upinzani chenye wabunge wengi bungeni ndicho chenye mamlaka ya kuunda kambi rasmi ya upinzani bungeni na kwa kuzingatia turufu ACT-Wazalendo wanayotarajia haswa kuwa na wabunge toka Zanzibar ni dhahiri wataongoza upinzani bungeni na kama Zitto akishinda ubunge basi ni KUB ajaye.

Uhalisia ulivyo ni kwamba baadhi ya wabunge wa CHADEMA walimaliza muda wao wameonekana kutumia turufu ya umaarufu wao na ''ustaafu'' (incumbency) kwenye kampeni lakini ''vote dynamics' zinawakataa na hapa ndipo ninampongeza kijana wangu John Mnyika aliyesoma alama za nyakati vema baada ya kuona kiza mbeleni na kuamua kustaafu siasa za bungeni.

Namuona Tundu Lissu akiweka nguvu angalau kupata wabunge na hatimaye kura ambazo zitasaidia kupata ruzuku na fursa ya u-KUB lakini hali ni tete sana kulingana na uhalisia uliopo.

Hoja kwa hoja, utafiti kwa utafiti.
Biased and unscientific article. A dream and wishful thinking. Pole rafiki.
 
Ndugu zangu,

Hii inatokana na uzoefu wa kura za Wazanzibar hususani wapemba ambao hupiga kura kutegemea chama anachotoka Maalim Seif. Kama hali itakuwa hivyo ACT wana uhakika wa wabunge angalau 20 kutoka Zanzibar kitu ambacho CHADEMA au chama kingine hakiwezi kupata wabunge kumi (10) nchi nzima.

Kwa siasa za kibunge zilivyo; chama cha upinzani chenye wabunge wengi bungeni ndicho chenye mamlaka ya kuunda kambi rasmi ya upinzani bungeni na kwa kuzingatia turufu ACT-Wazalendo wanayotarajia haswa kuwa na wabunge toka Zanzibar ni dhahiri wataongoza upinzani bungeni na kama Zitto akishinda ubunge basi ni KUB ajaye.

Uhalisia ulivyo ni kwamba baadhi ya wabunge wa CHADEMA walimaliza muda wao wameonekana kutumia turufu ya umaarufu wao na ''ustaafu'' (incumbency) kwenye kampeni lakini ''vote dynamics' zinawakataa na hapa ndipo ninampongeza kijana wangu John Mnyika aliyesoma alama za nyakati vema baada ya kuona kiza mbeleni na kuamua kustaafu siasa za bungeni.

Namuona Tundu Lissu akiweka nguvu angalau kupata wabunge na hatimaye kura ambazo zitasaidia kupata ruzuku na fursa ya u-KUB lakini hali ni tete sana kulingana na uhalisia uliopo.

Hoja kwa hoja, utafiti kwa utafiti.
Ndiyo. Kwa hisani ya Tume ya Uchaguzi.
 
Ndugu zangu,

Hii inatokana na uzoefu wa kura za Wazanzibar hususani wapemba ambao hupiga kura kutegemea chama anachotoka Maalim Seif. Kama hali itakuwa hivyo ACT wana uhakika wa wabunge angalau 20 kutoka Zanzibar kitu ambacho CHADEMA au chama kingine hakiwezi kupata wabunge kumi (10) nchi nzima.

Kwa siasa za kibunge zilivyo; chama cha upinzani chenye wabunge wengi bungeni ndicho chenye mamlaka ya kuunda kambi rasmi ya upinzani bungeni na kwa kuzingatia turufu ACT-Wazalendo wanayotarajia haswa kuwa na wabunge toka Zanzibar ni dhahiri wataongoza upinzani bungeni na kama Zitto akishinda ubunge basi ni KUB ajaye.

Uhalisia ulivyo ni kwamba baadhi ya wabunge wa CHADEMA walimaliza muda wao wameonekana kutumia turufu ya umaarufu wao na ''ustaafu'' (incumbency) kwenye kampeni lakini ''vote dynamics' zinawakataa na hapa ndipo ninampongeza kijana wangu John Mnyika aliyesoma alama za nyakati vema baada ya kuona kiza mbeleni na kuamua kustaafu siasa za bungeni.

Namuona Tundu Lissu akiweka nguvu angalau kupata wabunge na hatimaye kura ambazo zitasaidia kupata ruzuku na fursa ya u-KUB lakini hali ni tete sana kulingana na uhalisia uliopo.

Hoja kwa hoja, utafiti kwa utafiti.
Narudia tena KUB itaamuliwa na idadi ya viti maalum. CHADEMA walimzidi CUF wabunge watatu tu majimboni ila viti maalum walibeba 35+ na hapo ndipo CUF ikazidiwa.

So kma Hku bara CHADEMA wakibeba minimum 20% ya kura za wabunge ina maana viti maluum 15+ ambapo tayari watamfunika ACT mbali mnoo.

Siasa ni hesabu tu
 
Narudia tena KUB itaamuliwa na idadi ya viti maalum. CHADEMA walimzidi CUF wabunge watatu tu majimboni ila viti maalum walibeba 35+ na hapo ndipo CUF ikazidiwa.

So kma Hku bara CHADEMA wakibeba minimum 20% ya kura za wabunge ina maana viti maluum 15+ ambapo tayari watamfunika ACT mbali mnoo.

Siasa ni hesabu tu
kwahiyo chadema itakuwa chama cha viti maalum?
 
kwahiyo chadema itakuwa chama cha viti maalum?
Viti maalum vinatokana na kura za jumla za wabunge. Ssa sugu na mdee tu wakusanye kura laki 2 alafu unataka walingane idadi ya viti na wabunge wa ACT pemba ambao wakichanga kura za majimbo yote 18 hazifiki laki 3?

Ni hivi KUB huamuliwa na viti maalum miaka yote. So bisha utavyoweza ila ni ukweli mchungu ambao hata ACT wanaufahamu
 
Marekebisho kidogo mkuu pale uliposema chadema hakiwezi kupata wabunge kumi(10) ,hapo ulipaswa kusema chadema mwaka huu haina uwezekano wa kupata japo wabunge watatu(03)
 
Viti maalum vinatokana na kura za jumla za wabunge. Ssa sugu na mdee tu wakusanye kura laki 2 alafu unataka walingane idadi ya viti na wabunge wa ACT pemba ambao wakichanga kura za majimbo yote 18 hazifiki laki 3?

Ni hivi KUB huamuliwa na viti maalum miaka yote. So bisha utavyoweza ila ni ukweli mchungu ambao hata ACT wanaufahamu
kwani ACT-Wazalendo hawataambulia kitu?
 
Ndugu zangu,

Hii inatokana na uzoefu wa kura za Wazanzibar hususani wapemba ambao hupiga kura kutegemea chama anachotoka Maalim Seif. Kama hali itakuwa hivyo ACT wana uhakika wa wabunge angalau 20 kutoka Zanzibar kitu ambacho CHADEMA au chama kingine hakiwezi kupata wabunge kumi (10) nchi nzima.

Kwa siasa za kibunge zilivyo; chama cha upinzani chenye wabunge wengi bungeni ndicho chenye mamlaka ya kuunda kambi rasmi ya upinzani bungeni na kwa kuzingatia turufu ACT-Wazalendo wanayotarajia haswa kuwa na wabunge toka Zanzibar ni dhahiri wataongoza upinzani bungeni na kama Zitto akishinda ubunge basi ni KUB ajaye.

Uhalisia ulivyo ni kwamba baadhi ya wabunge wa CHADEMA walimaliza muda wao wameonekana kutumia turufu ya umaarufu wao na ''ustaafu'' (incumbency) kwenye kampeni lakini ''vote dynamics' zinawakataa na hapa ndipo ninampongeza kijana wangu John Mnyika aliyesoma alama za nyakati vema baada ya kuona kiza mbeleni na kuamua kustaafu siasa za bungeni.

Namuona Tundu Lissu akiweka nguvu angalau kupata wabunge na hatimaye kura ambazo zitasaidia kupata ruzuku na fursa ya u-KUB lakini hali ni tete sana kulingana na uhalisia uliopo

Hoja kwa hoja, utafiti kwa utafiti.
KUB atakuwa kassim majaliwa au Ndugai maana nchi inachukuliwa na chadema
 
kwani ACT-Wazalendo hawataambulia kitu?
Watakusanya asilimia ya kura za ubunge kuliko CHADEMA? Hvi wana uwezo wa kufikisha hata kura laki 5 za ubunge nchi nzima ukizingatia ''hawana'' mgombea Urais?

CHADEMA nshakwambia hta wakikosa viti vyote hizo kura watakazookoteza kila jimbo zitazidi kura za wabunge wote wa ACT pemba so bado viti maalum vitawabeba.
Tena sheria yetu inataka walau 5% ya kura zote Je majimbo ya Pemba yanatosha kuleta kura za wabunge?
 
Ndugu zangu,

Hii inatokana na uzoefu wa kura za Wazanzibar hususani wapemba ambao hupiga kura kutegemea chama anachotoka Maalim Seif. Kama hali itakuwa hivyo ACT wana uhakika wa wabunge angalau 20 kutoka Zanzibar kitu ambacho CHADEMA au chama kingine hakiwezi kupata wabunge kumi (10) nchi nzima.

Kwa siasa za kibunge zilivyo; chama cha upinzani chenye wabunge wengi bungeni ndicho chenye mamlaka ya kuunda kambi rasmi ya upinzani bungeni na kwa kuzingatia turufu ACT-Wazalendo wanayotarajia haswa kuwa na wabunge toka Zanzibar ni dhahiri wataongoza upinzani bungeni na kama Zitto akishinda ubunge basi ni KUB ajaye.

Uhalisia ulivyo ni kwamba baadhi ya wabunge wa CHADEMA walimaliza muda wao wameonekana kutumia turufu ya umaarufu wao na ''ustaafu'' (incumbency) kwenye kampeni lakini ''vote dynamics' zinawakataa na hapa ndipo ninampongeza kijana wangu John Mnyika aliyesoma alama za nyakati vema baada ya kuona kiza mbeleni na kuamua kustaafu siasa za bungeni.

Namuona Tundu Lissu akiweka nguvu angalau kupata wabunge na hatimaye kura ambazo zitasaidia kupata ruzuku na fursa ya u-KUB lakini hali ni tete sana kulingana na uhalisia uliopo

Hoja kwa hoja, utafiti kwa utafiti.
Umeongea vyema mkuu na utafiti wako ni makini lakini hawa machadema watapinga had Octoba 28 ndio yataamini unachosema. Yanaamini yule mpayukaji ataenda Chamwino, kumbe hata Kizota hafiki
 
unapo toa maoni yako kumbuka baada ya mwezi October kati ya December au January kuna uchaguzi mwingine wa wabunge!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom