Polen wanavyuo ambao hamjapata pesa!!kwa kwel inauma na inasikitisha saana.naomba ifahamike kwamba hata ubane matumiz kvp,pesa ya boom haiwez kaa wik12!!lkn tujifunze cha kujidaia ni kura zetu2
Hao wanaccm waache upotoshaj.
..na wanaounga mkono mawazo ya watu weng ni mawazo yap hayo?ya watu400 au ya watu zaid ya 400000?na hyo anaye tangaza kwenda mstun anamtishia nan?lkn tusimlaum kwan sifa za wanajesh zinafahamika zikiwemo kama hz ujinga,wanajesh wanataka watu wenye uelewa...
Wee jamaa ----- kwel,nahs na ww bado una tongo tongo machon zinazostahil kuoshwa kwa sabun yenye magad makal il upate kuona walau hata kdogo!na unastahl kuktana na watu wenye upeo wa mambo hil wakueleze ukwel wa mambo kuhus hii nchi!acha kukarirshwa na kutuletea mambo ya ccm hum ndan!kiukwel...
We kabind u hv fixed mind ma broo/ccta heb jarb kushrkisha akil kwa kla unalofkiria!utakua bado una tongo tongo machon zinazohitaj kuoshwa kwa sabu yenye magad makal walau upate kuona hata kigodo...(open up ur mind friend)
Kaka naomba ifahamike kuwa katba ndo muhmil wa nchi,katba ndo baba mwenye ndev!kwa kuwa inafahamika kuwa mawazo ya wanaccm hayashrikian na akir,wanaweza ruhus mchakato uendelee kwan wao wanajal masrai ya chama na wafuas wa chama!kwa maana hyo wao malengo yao yatafanikiwa lkn wananch ndo 2takao...
Rais we2 tusimlaum cz hajitambui!pind walioba anakabidhi mawazo ya wananch alopongezwa kuwa amefanya kaz nzr lkn baada ya kutaamak kuwa matakwa ya wananch hayamatch na interest zake na wafuas wake pia ndo akaibuka na hoja za uongo il kukidh matakwa yake na ya wafuas wake (ni maskitko makibwa sana)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.