Habari wadau,
Naombeni ushauri. Kuna demu mmoja nampenda sana ila tangu tuwe kwenye mahusiano, ni muda sasa. Mpenzi wangu huyu simuelewi coz muda mwingne nampigia simu hapokei, nikimuuliza ananiambia hamna kitu kawaida tu.
Na kinachoniumiza zaidi ni kwamba nikitaka kukutana nae anakata simu...
kiukwel unashida shd mpaka unatafuta huy wa pili inamaana wa kwanz ana "kupwelepweta" na upendo nae hakuna so endelea kutumika tu watu wapunguze 'vipururu'
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.