Recent content by pwaguzo

  1. P

    Diamond Platnumz new hit song UTANIPENDA

    Tanta lala laaa La la la la laaaa Mmmmmh.... Ooh Ghafla visenti sina nimerudi Tandalee Nimeshindwa kulipa BIMA nimeuza madalee Radio nyimbo wamezima Tv ndio hataree Umeneja umebaki jina hanitaki hata Talee Oooh wale shabiki zangu walonisifu kwa maneno matamuu Leo maadui zangu...
  2. P

    Salam zenu Tigo

    Pole sana ndugu kwa usumbufu ulioupata. Ila pale Shekilango ni ofisi ya mauzo. Huduma kwa wateja inatolewa tu kwa baadhi ya huduma, huduma zingine unatakiwa uende ofisi za huduma kwa wateja kama Manzese, Mliman City na ofisi zingine kama hizo. Karibu tena na tuendelee kuwa pamoja kwenye mtandao...
  3. P

    CHADEMA mmezubaa, hamjajiandaa kushinda

    Mungu yu pamoja nasi... Na kwa taarifa tu ya magamba, ubunge wamechukua sehemu kubwa, ila urais tayali upo UKAWA kwa bara na visiwani.
  4. P

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Mmmmmh mkuu nakuja hapo. Mm nipp hapa namanga, asbh niliamkia kwenye Tegeta nyuki kuna issue nlikuwa naifatilia. Wacha nije nipige kura na nilinde kura
  5. P

    Kikwete: Lowassa ndiye mhusika wa Richmond

    Lowassaaaaaaaaaaaaaaaaaa
  6. P

    UKAWA wapata mapigo mawili ndani ya masaa 24 kabla ya uchaguzi

    Watanzania wameshaamua, kura yao ni kwa lowassa. Hata mseme nini hatuwez kuacha kumchagua Lowassa
  7. P

    Lowassa anaendelea kujaza Mafuriko

    Acha kupotosha ww. Mbowe aloposimama alisema,anakiuka itifaki na wanamkaribisha mgombea Lowassa ili aongee na watanzania na dunia maana matangazo yalikuwa yanarushwa live, na makubaliano ya UKAWA na vyombo vya habari ni kurusha matangazo ya moja kwa moja hadi saa10:00 jion. Ndio maana ilipofika...
  8. P

    GE2015 Kila uchaguzi unapoteza kura yako, hujachelewa badili maamuzi leo mpe Magufuli kesho

    Kura yangu na familia yangu ni kwa Lowassa. Na kesho ndio mtajua nguvu ya uma ipoje
  9. P

    Dr. Didas Masaburi njia nyeupe Bungeni

    Naona mwajitekenya wenyewe
  10. P

    Dr. Didas Masaburi njia nyeupe Bungeni

    Jimbo la Kubenea hilo ww
  11. P

    CCM nambari wani

    Siwezi kubadili maamuzi yangu ya j2 kumpigia kura lowassa. Nimefunga kwa ajili yake na naomba mungu usiku na mchana ili lowassa ashinde. Mazingira ninayoishi, kibaruan na sehem kubwa ya wanaonizinguka wako upande wa pili. Mm2 ndio namshabikia lowassa Mungu baba naomba simama upande wangu na...
  12. P

    Huu umoja si afya njema kwa CCM hata kidogo kuelekea Uchaguzi mkuu

    Lowassa ndio mpango wa mungu. Alipangalo mungu hakuna binadam wa kupinga
  13. P

    Yaliyojiri Jangwani, Dar: Mkutano wa kuhitimisha Kampeni za mgombea Urais wa CCM, Dr. Magufuli

    Kura yangu ni kwa lowassa. Siwez badili maamuzi
  14. P

    Hapa Kazi Tu, Majungu yapo UKAWA

    Hapa lowassa ndo rais wa tz
Back
Top Bottom