Tanta lala laaa
La la la la laaaa
Mmmmmh....
Ooh Ghafla visenti sina nimerudi Tandalee
Nimeshindwa kulipa BIMA nimeuza madalee
Radio nyimbo wamezima Tv ndio hataree
Umeneja umebaki jina
hanitaki hata Talee
Oooh wale shabiki zangu
walonisifu kwa maneno matamuu
Leo maadui zangu...
Pole sana ndugu kwa usumbufu ulioupata. Ila pale Shekilango ni ofisi ya mauzo. Huduma kwa wateja inatolewa tu kwa baadhi ya huduma, huduma zingine unatakiwa uende ofisi za huduma kwa wateja kama Manzese, Mliman City na ofisi zingine kama hizo.
Karibu tena na tuendelee kuwa pamoja kwenye mtandao...
Mmmmmh mkuu nakuja hapo.
Mm nipp hapa namanga, asbh niliamkia kwenye Tegeta nyuki kuna issue nlikuwa naifatilia. Wacha nije nipige kura na nilinde kura
Acha kupotosha ww.
Mbowe aloposimama alisema,anakiuka itifaki na wanamkaribisha mgombea Lowassa ili aongee na watanzania na dunia maana matangazo yalikuwa yanarushwa live, na makubaliano ya UKAWA na vyombo vya habari ni kurusha matangazo ya moja kwa moja hadi saa10:00 jion.
Ndio maana ilipofika...
Siwezi kubadili maamuzi yangu ya j2 kumpigia kura lowassa. Nimefunga kwa ajili yake na naomba mungu usiku na mchana ili lowassa ashinde.
Mazingira ninayoishi, kibaruan na sehem kubwa ya wanaonizinguka wako upande wa pili. Mm2 ndio namshabikia lowassa
Mungu baba naomba simama upande wangu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.