Kwedu Kwazu
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 504
- 71
we we ndo lofa kweli
Hapa lowassa ndo rais wa tz
Acheni upompompo nyie sisiemu. Kazi bila elimu?
ccm inataka watz wawenakiwango hiki hiki cha elimu ili waendelee kutawala
Wewe ndo pompoma kweli kwani kazi zote zinahitaji elimu? Huku nikujiendekeza tu.
Haya kwa kuanzia watz wamepata elimu ya siasa kupitia upinzani. WANATAKA MABADIRIKO Baada ya kuking'oa chama cha majabazi wataanza kupata elimu bure ambayo wamenyimwa na ccm kwa >50 yrs
Lowassa Kwisha habari yake.
Kazi tuuuuuuuuuuuu....
Maigizo na taarabu pelekeni hukoooooo...kwa wana ukawa