Ungekuwa mfuatiliaji mzuri ungegundua Kifaransa, Kichina, Kireno na Lugha nyingine nyingi tu huwa zinatumika kwenye baadhi ya vipindi.
Unless una tatizo na Waarabu.
Mwaka 1207 pale Gerezani Kariakoo zilipigwa ngumi kisa kuna ubishi haiwezekani binadamu aliyepo Mzizima na Songea wakawasiliana papo kwa papo na wakaelewana.
Ule ugomvi ulikua mkubwa sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.