Mimi kabati langu limetizama kitanda kiasi kwamba upande wa katikati ambapo kioo kipo nikigeukia kabati najiona.
Majuzi niliota ndoto ya ajabu sana,,,,niliota nipo kwenye nyumba fulani hivi inawatu wengi waliokaa kwa kupumzika kana kwamba kuna jambo wametoka kulifanya(kama ibada fulani hivi)...