Recent content by punda chizi

  1. P

    Kiba ampigia debe Diamond

    utu uzima, ukomavu, kujitambua na kujiheshimu ni mambo ambayo alikiba yatamlinda daima kwenye hii sanaa
  2. P

    Ali Kiba na Giggy Money mahaba motomoto

    mtoa habari, habari imetufikia lakini si kama ulivyotaka. ALIKIBA NA GIGGY MAHABA MOTOMOTO, bila ya uthibitisho wa wahusika hata wa picha tu, huo ni unafiki na hautakufikisha popote
  3. P

    Kuku na Vifaranga wa kienyeji wanauzwa

    weka mawasiliano yako
  4. P

    Sautisol ft. Ali Kiba - Unconditionally Bae

    dah kwakuwa ni maoni yako, acha tuache kama ilivyo ni maoni yako.
  5. P

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Majina ya cheti cha kuzaliwa ni Emmanuel Hilary, kwa sasa ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza, chuo kikuu cha Dar-es-salaam katika fani ya udaktari. Nina ndoto ya kuwa mjasiliamali pia, ni mwanajamvi mpya hivyo naomba mnipokee na kunipa ushirikiano mimi mdogo wenu. Natanguliza shukrani
  6. P

    Sautisol ft. Ali Kiba - Unconditionally Bae

    kiuno chepesi! hahahaha tunapokosa cha kukosoa
  7. P

    Sautisol ft. Ali Kiba - Unconditionally Bae

    kwa anaependa mziki mzuri ni lazima uwe shabiki wa ali kiba
Back
Top Bottom