Kuku na Vifaranga wa kienyeji wanauzwa

Ebenezer-255

Member
Jan 10, 2015
45
8
1458986680620.jpg
1. Majogoo ya Mbegu.
2. Vifaranga wa Mwezi mmoja.
3. Vifaraga wa wiki tatu.
4. Vifaranga wa wiki mbili.
5. Vifaranga wa siku moja wanapatikana kwa order.

Kuku wote wamechanjwa na bei inatofautiana kulingana na umri. Tupo Tabata Kinyerezi.
 
Kwa anayehitaji vifaranga vya kuku wa kienyeji vitakua tayali tarehe 9/8/2016 bea@ 2000 viko 120 tuwasiliane
 
Hao ndo wale wakupiga hela watu,ye mwenyew biashara ya kubahatisha,hatuendi hivo mkuu.Ndio maana biashara nyingine zinakufa na nyingine zinapona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom