Huyo Dalali wako hakupewa no kirahisi Kuna kitu kazungumza no ikatoka chap muda si mrefu utalia.Hao viumbe wanaona mbali sana nowadays Kuna mikakati ya kugeuzwa fursa na hao wote wawili.Ebu achana na hiyo mitikasi njoo kwa Yesu Kristo utojutia nakupa hiyo connection.
Mimi niliyekuwa nakesha karikoo kubeba bidhaa za kuwauzia masista Du wa Chuo huku pindi likinipita sikuwahi kupata GPA mbovu hivyo.Alafu kusoma Master ni kujiongezea ujinga na stress kama anafikiria kutobo kimaisha aitumie vizuri akili aliyopewa na Mungu.
Wengi wanashindwa kulitumia jina la Yesu na Damu ya Yesu.Miaka mitatu nyuma mpaka mwaka huu mwezi wa sita nikakutana na Nguvu za Yesu Kristo.Nikiwa nimetoka Namiungo kwa Mganga hiyo ilikuwa nimepigiwa kazi usiku kucha asubuhi yake nikaunganisha Matemanga Kuna Kijiji kinaitwa Kajima nako huko...
Jiwe limerushwa Kanda ya ziwa nyuki wameanza kuchachamaa akimaliza hapo jiwe litarushwa kwetu kusini hili tumalizane nao hao pimbi wawili.Kutoka Kanda ya ziwa mpaka kusini subiri uone kazi.Huyo Mama la mama sijui kama atatoboa kusini,mwendazake inshu ya korosho walimmezesha Moshi akasalimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.