Recent content by Puna

  1. Puna

    JamiiForums Tanzania KERO Mke wangu amepata changamoto ya Afya ya Akili, tumekosa uhamisho Serikalini ili tuwe karibu

    Kusanya doc za matibabu nenda omba kukutana na Katibu mkuu au Naibu wake utakuwa umemaliza.Ukishindwa kwa hao tenga Bajeti mwezi tu inasomeka kwenye mfumo ameshahama.Zingatia Neno Bajeti.
  2. Puna

    JamiiForums Tanzania Mwekezaji anayefichwa anayetaka kuinunua Sinza yote, ni mama mmoja wa Kizanzibari na kijana wake wa kiume, Master mind wa ufisadi wote.

    Hao Wachina kwanini wasipewe maghorofa ya Nssf yanoyooza huko Dege Kigamboni? Unawapa nyumba za watu wakati yale Maghorofa yanaoza tu.
  3. Puna

    JamiiForums Tanzania Asili ya binadamu kujipendekeza na kutaka kukubalika hata na watu wasiomjua

    Mkuu Mzazi wangu anaishi kule nakwenda sana.Jamaa wameweza kutengeneza kizazi Cha kizalendo sijui wamefanyaje?.Tanganyika ni Janga kuu.
  4. Puna

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Mpaka kule Facebook yule Admin wao anaonekana ana Changamoto kichwani.
  5. Puna

    JamiiForums Tanzania Asili ya binadamu kujipendekeza na kutaka kukubalika hata na watu wasiomjua

    Kwa sasa walioko juu hakuna mwenye akili timamu inauma kwakweli.
  6. Puna

    JamiiForums Tanzania Asili ya binadamu kujipendekeza na kutaka kukubalika hata na watu wasiomjua

    💯 Na hawaelewi wanakwenda wapi na wanataka nn!Tumefika hapa kwa Sababu ya unafiki wa Watanzania wengi.
  7. Puna

    JamiiForums Tanzania Vuguvugu la kudai Tanganyika huru linanukia?

    Ila Kuna Kila dalili za kugeukwa na Mtanganyika yoyote yule akishika hicho kijiti hata huyo VP mpya au Mbunge wa Chuga nimekaa Pale.Waone tu wanapiga makofi pale jumba jeupe inside wanalia sana,Sema wanaogopa ya Polepole.Amini nakuambia hats Riz 1 atawageuka.
  8. Puna

    JamiiForums Tanzania Hakuna vyuo vikuu vya hovyo km vinavyomilikiwa na KKKT.

    Ukisoma comment ndo utajuwa hii nchi Kuna sehemu inavuja🙌
  9. Puna

    JamiiForums Tanzania Nchimbi amerudia kosa la Mrema, Lowassa na Polepole kujaribu kupambana ukiwa nje ya mfumo. Mapambano yanatakiwa ndani na nje. CHADEMA msirudie ya 2015

    Nafikiri ni maelekezo ya Mzee wetu aliyemtembelea Juzi Sijui Msasani au Masaki.Najaribu kuwaza kwa sauti.
  10. Puna

    JamiiForums Tanzania Niweke Mlango wa Nje? Inanitatiza sana

    Shukrani
  11. Puna

    JamiiForums Tanzania Niweke Mlango wa Nje? Inanitatiza sana

    Barikiwa mkuu!Nitapita hapo
  12. Puna

    JamiiForums Tanzania Niweke Mlango wa Nje? Inanitatiza sana

    Hii hapa kwetu ipo au mpaka uagize huko kwa akina Jet lee?
  13. Puna

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Wokovu, je waweza kuokoka na ukawa mkatoliki? au Mlutheri, au wokovu ni kwa "walokole" pekee?

    Hiyo Warumi 10:9 ndio umemaliza Kila kitu.Sasa identity yake sasa baada ya kumkiri utaacha dhambi.Dhambi utaiacha huko huko kwenye dhehebu lako.
Back
Top Bottom