Recent content by Puna

  1. Puna

    Tetesi: Wokovu, je waweza kuokoka na ukawa mkatoliki? au Mlutheri, au wokovu ni kwa "walokole" pekee?

    Hiyo Warumi 10:9 ndio umemaliza Kila kitu.Sasa identity yake sasa baada ya kumkiri utaacha dhambi.Dhambi utaiacha huko huko kwenye dhehebu lako.
  2. Puna

    Hivi mbona wanawake ni warahisi ukiunganishishiwa na mwanamke mwenzao

    Huyo Dalali wako hakupewa no kirahisi Kuna kitu kazungumza no ikatoka chap muda si mrefu utalia.Hao viumbe wanaona mbali sana nowadays Kuna mikakati ya kugeuzwa fursa na hao wote wawili.Ebu achana na hiyo mitikasi njoo kwa Yesu Kristo utojutia nakupa hiyo connection.
  3. Puna

    Msaada: Namna ya kujiondoa katika vifungo vya uchawi, husda na nuksi bila ya kwenda kwa waganga na wachungani/mashehe feki

    Asante Mkuu kwa ufafanuzi!Mimi nilikuwa muhanga kama yeye.Nilitumia njia mojawapo ya hizo Tena na wife kabisa,Mambo yalizidi kuwa mabaya zaidi.
  4. Puna

    Mikoa / Wilaya za Dar es Salaam na Makabila

    Kachanganyikiwa na maisha.
  5. Puna

    Huu ni utumwa wa hali ya juu

    Ikitokea nafasi ya kazi unawai na Cv mkononi au kama unayo utaki kuacha unawachota watu ujinga.Haya maisha Bila unafiki hayaendi.
  6. Puna

    GPA 2.3 unaweza kusoma masters wapi?

    Mimi niliyekuwa nakesha karikoo kubeba bidhaa za kuwauzia masista Du wa Chuo huku pindi likinipita sikuwahi kupata GPA mbovu hivyo.Alafu kusoma Master ni kujiongezea ujinga na stress kama anafikiria kutobo kimaisha aitumie vizuri akili aliyopewa na Mungu.
  7. Puna

    Wakuu hivi nyie mnawezaje kuingia humu JamiiForums kwa hiki kipindi mkiwa ndani ya Tanzania?

    Huku Ujerumani Kuna kijuajua hivi hasa hapa jijini Frankfurt.
  8. Puna

    Ushuhuda mpya nguvu ya jina la Yesu

    Wengi wanashindwa kulitumia jina la Yesu na Damu ya Yesu.Miaka mitatu nyuma mpaka mwaka huu mwezi wa sita nikakutana na Nguvu za Yesu Kristo.Nikiwa nimetoka Namiungo kwa Mganga hiyo ilikuwa nimepigiwa kazi usiku kucha asubuhi yake nikaunganisha Matemanga Kuna Kijiji kinaitwa Kajima nako huko...
  9. Puna

    Rostam Aziz na Kikwete watoke watoe maelezo ya kueleweka juu ya kifo Cha Magufuli!

    Jiwe limerushwa Kanda ya ziwa nyuki wameanza kuchachamaa akimaliza hapo jiwe litarushwa kwetu kusini hili tumalizane nao hao pimbi wawili.Kutoka Kanda ya ziwa mpaka kusini subiri uone kazi.Huyo Mama la mama sijui kama atatoboa kusini,mwendazake inshu ya korosho walimmezesha Moshi akasalimu...
Back
Top Bottom