Maandalizi makubwa sana nchini Norway yamefanyika kumpokea mheshiwa Rais wa Tanzania katika jumba la kifalme la ikulu ya Norway na bendera yetu inapepea kuanzia mitaani mpaka ikulu
Piga kazi mama tutafutie connections huko nje.
Unabahati sana hapo mbele kwa dereva ulipo kaa mtu wa nyuma ange kufunika leso puani kwishaa habari yako usichezee moto eti watu huwajui unapanda gari Yao nahisi kunavitu umeficha mkuu mwisho wa story mara umekaa na Babu mwanzo umekaa na dereva mkashuka namashaka na ulipoishia aisee pole mkuu...
Wana hakikisha Hawa ma black wenye Hela wote wamepotea yamemkuta ya Robert Kelly wataibuka msululu wa wasichana kumtuhumu mwisho wake atapigwa mvua za mawe kama Kelly
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.