Recent content by Pull her Down

  1. P

    Hivi ni kweli wanawake ving'ang'anizi ndio wanaoolewa?

    Kwani wewe yule jamaa yako hadi unafikia hatua ya kujiachia na hatimaye kukuzalisha mtoto na kukutelekeza...hukuwa king'ang'anizi? Sijajua mwanamke unapowaponda wanawake wenzako eti...kwanini wanakuwa ving'ang'anizi ..at last wanaolewa...wakati nawe pia hiyo ndoa unaitamani sana sema ndo...
  2. P

    Lazima mjue kutofautisha

    Kati ya VODA na TiGo
  3. P

    Mke wa mtu kaja chumbani kwangu

    Kuwa makini sana kijana, na wala usijipe mia kwa mia...ipo siku utakuja hapa jamvini huku kichwa cha chini kimesha fanyiwa hohara ya mara ya pili. Be careful! wanasema mke wa mtu ni sumu....shauri yako!
  4. P

    Wanaume hakikisheni wanawake hawagundui tabia na misimamo yenu

    Tunashukuru kwa ushauri mzuri.Tutazingatia. Lakini hawa viumbe huwa hawatabiriki, ni lazima kujiongeza ili kuwaweka sawa.
  5. P

    Nifanyaje ili nisipende sana, naomba ushauri

    Hata kama hutopenda sana lakini watatokea watakao kupenda sana na hivyo utashawishika nawe kupenda baadae utaongeza na sana then ikawa kupenda sana...! Ushauri: Kwa dunia ya sasa ni vigumu sana kuwa na mwanaume wa kwako peke yako....Hii ni kanuni au kwa kidhungu ni Formula ambayo ina exist kwa...
  6. P

    Afisa Elimu, Wilaya ya Mbinga, alistahili kufukuzwa kazi na sio kupewa Demotion

    Mkuu, Naona umeandika kwa jazba sana kuhusu suala la bwana Mkali. Ni kweli lazima tukiri wazi kuwa kuna mambo mbwana mkali hajafanya vizuri lakini kuna mambo amejitahidi sana. Lakini suala lake kuna giza nene ambalo mimi na wewe hatulijui ila kuna jambo zito lipo nyuma ya pazia. Labda...
  7. P

    Mkopo Bank of Afrika (BOA)

    Kwanza amshukuru Mungu kwa kumuepusha na Makato ya mshahara wake. Hivi kwa mshahara wa ualimu ...ukipokea cash bila makato ya mkopo...unakuta mwalimu akifika tarehe 10 tu hata senti tano mfukoni hana, sasa unapolaumu unacheleweshewa mkopo...si majanga hayo?? Walimu lazima mjitambue....ni vema...
  8. P

    Mkopo kwa wanafunzi wa diploma ya ualimu?

    Mawazo yako ya kusoma Diploma ya Ualimu ni mazuri . Lakini kama una alama za kukufanya u-apply vyuo vikuu ni bora ukafanya hivyo. Huu ni ushauri wabureee ambao huitaji kulipa pesa. Kwa sasa vyuo vya Ualimu vinatoa Diploma ya Ualimu kwa Muda wa miaka 3....hii ni kwa level zote...iwe Ualimu wa...
  9. P

    Mada maalum: Ushauri kulingana na matokeo yako ya kidato cha nne(2014)

    Kwa uzoefu wangu naona unaweza ukachaguliwa kwenda A-Level kwa shule ya Serikali kama ndoto yako ilivyo. Nasema hivyo kwa sababu una possible three combinations: 1. HKL (B,B,B); 2. HGL (B,C,B) : 3. HGK (B,C,B). Lakini pia uwe tayari kwa second selection kwa sababu matokeo haya yapo kisiasa...
  10. P

    Usafiri wa ndege TZ: Wahabeshi/Ethiopian Airlines wamewezaje, tukashindwa sisi?

    Mkuu Tanzania ni nchi ya aina yake. Watu wengi waliopo madarakani ni wachumia tumbo....Kuanzia Rais hadi mtendaji wa mtaa/kijiji. Hakuna mzalendo...kila mmoja anatafuta kushiba, hivyo sio rahisi kama unavyofikiria ili kendesha shirika la ndege. Inasikitisha sana kuona Waziri mwenye dhamana...
Back
Top Bottom