Kuna muda nafurahi MAMA YENU kuwa madarakani maana kuna wale matomaso ndani na nje ya CCM walifikiri katiba mpya sio kipao mbele au kitu cha ulazima. Pia wengine walikuwa wanasikia kuwa kuna wana mtandao akina kikwete ni cancer ya taifa hili.
Uyu mama amekuja kuweka mambo uchi kabisa, uko mbele...
Tanzania imemilikisha au kuuza hifadhi za gesi kwa mashirika au kampuni za nje na haina umiliki wa asilimia zozote badala yake wamegewa haki ya kushiriki kupitia TPDC ila hawana umiliki, na baadhi ya visima/hifadhi wameficha taarifa za umiliki, ni huzuni sana.
Visima au hifadhi...
Wanakutisha tu hao usiwasikilize…sitaki kuongea sana maana ninaficha identity yangu…we nenda kasome Japan au Korea…mwaka wa kusoma lugha ni kawaida na unafundishwa from basics, na ma lecture wengi wanamix lugha…
Nimejaribu kujiuliza uyu mama ana uwezo gani wa kufikiria, hivi kuna njia yoyote ya kujisafisha kwa mauaji ya namna ile, kweli aliamini kupitia hii tume ambayo kaitengeneza yeye ije imsafishe kweli, anasahau kosa kubwa unaloweza kufanya hapa duniani na ukakosa msamaha ni kuua.
Chochote...
Pole sana…sio waafrika wote wana roho hiyo….Tanzania kuna kitu hakipo sawa. Pole sana mkuu.
Anyway, application bado iko open ya mwaka 2027, imeanza April 2026 hadi May 2026 kutegemea na program unayotaka kusoma.
Pitia hiyo link chini, documents zote tumia hyo address unayoona hapo, na kuepuka...
Mange Kimambi: Angalieni vizuri list ya magari yaliyoingizwa Tz mwaka 2024 kupitia kampuni ya Angela Kizigha, MAGMOP. Bugatti Chiron 2 zimeingizwa. Nimechoka kabisa.
Hii kampuni Magmop ni kampuni ya Angela Kizigha na iko registered kwa number yake ya simu, yani her own personal number. Mnaweza kucheki wenyewe ownership ya hii magmop.
Naomba muangalie magari yaliyoingiziwa Tanzania na hii kampuni ya Kizigha hiyo Magmop.
Watanzania wanaibiwa kwa kiasi hiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.