Recent content by pulex

  1. pulex

    JamiiForums Tanzania Zembwela/ Manara Wana maisha mazuri kuliko Profesa wa Tanzania

    Kuna kazi inayolipa Bongo kma Siasa?
  2. pulex

    JamiiForums Tanzania Maali alipo Humphrey Polepole tuhakikishe tunampeka Abdul pia

    Uyu mama sijui alifikiria nn, mbona ange enjoy sana kama angelikaa pembeni kipindi kile kwa ushauri wa polepole na kula matunda aliyoiba…
  3. pulex

    JamiiForums Tanzania Polepole hakutakiwa kusema hili jambo

    Akina PolePole, mauaji ya MO29, kuwekwa Jela Tundu Lisu na mengine mengi ni mambo ya kawaida kutokea kwa nchi yoyote ile inayotafuta mageuzi au mabadiliko kwa ustawi wajamii…Sio rahisi nchi kupata mabadiliko au mageuzi kwa njia ya amani, lazima damu za watu zimwagike…imetokea South Afrika...
  4. pulex

    JamiiForums Tanzania shamba la hekari 114(sqm 463801) linauzwa ruvu kitonga

    Ikifika laki 5 kwa hekari, nistue 😎
  5. pulex

    JamiiForums Tanzania Kiongozi aliyeshinda kwa 98% na kuchaguliwa na watu mil 33 yeye na selikali yake hapaswi kuwa na hofu juu ya maandamano

    Sijui Jakaya uko aliko anajisikiaje…ametuletea balaa…sijui alikuwa anafikiria nini yule mzee
  6. pulex

    JamiiForums Tanzania Tukitegemea polisi tutashindwa - Kikwete

    Huwezi kuzuia mabadiliko, CCM ilizikwa rasmi MO29. Haina comeback tena.
  7. pulex

    JamiiForums Tanzania Muda ni Mwalimu mzuri sana: Siasa ni kama upepo, hubadilika wakati wowote

    Kuna muda nafurahi MAMA YENU kuwa madarakani maana kuna wale matomaso ndani na nje ya CCM walifikiri katiba mpya sio kipao mbele au kitu cha ulazima. Pia wengine walikuwa wanasikia kuwa kuna wana mtandao akina kikwete ni cancer ya taifa hili. Uyu mama amekuja kuweka mambo uchi kabisa, uko mbele...
  8. pulex

    JamiiForums Tanzania Je wajua Tanzania ndo nchi ya pekee Africa yenye visima /hifadhi ya gesi kubwa lakini karibu hifadhi au visima vyake vyote haina umiliki navyo?

    Tanzania imemilikisha au kuuza hifadhi za gesi kwa mashirika au kampuni za nje na haina umiliki wa asilimia zozote badala yake wamegewa haki ya kushiriki kupitia TPDC ila hawana umiliki, na baadhi ya visima/hifadhi wameficha taarifa za umiliki, ni huzuni sana. Visima au hifadhi...
  9. pulex

    JamiiForums Tanzania Scholarship za Japan MEXT: Waafrika tunafelishana wenyewe

    Wanakutisha tu hao usiwasikilize…sitaki kuongea sana maana ninaficha identity yangu…we nenda kasome Japan au Korea…mwaka wa kusoma lugha ni kawaida na unafundishwa from basics, na ma lecture wengi wanamix lugha…
  10. pulex

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 We ulisikia wapi Mwenyekiti 'Tume ya Rais' anawasilisha 'Ripoti ya Rais' kwa 'Rais' halafu anakuja kujieleza kwa wananchi? Msitupigie kelele!

    Nimejaribu kujiuliza uyu mama ana uwezo gani wa kufikiria, hivi kuna njia yoyote ya kujisafisha kwa mauaji ya namna ile, kweli aliamini kupitia hii tume ambayo kaitengeneza yeye ije imsafishe kweli, anasahau kosa kubwa unaloweza kufanya hapa duniani na ukakosa msamaha ni kuua. Chochote...
  11. pulex

    JamiiForums Tanzania Scholarship za Japan MEXT: Waafrika tunafelishana wenyewe

    Pole sana…sio waafrika wote wana roho hiyo….Tanzania kuna kitu hakipo sawa. Pole sana mkuu. Anyway, application bado iko open ya mwaka 2027, imeanza April 2026 hadi May 2026 kutegemea na program unayotaka kusoma. Pitia hiyo link chini, documents zote tumia hyo address unayoona hapo, na kuepuka...
  12. pulex

    JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi mzazi kuuza nyumba au mali pasipo kuwaambia watoto wake?

    Kwani hizo mali mlitafuta na yeye au mlichangia? We zinakuhusu nini?…Tafuta na wewe zako
Back
Top Bottom