Recent content by pulex

  1. pulex

    Scholarship za Japan MEXT: Waafrika tunafelishana wenyewe

    Wanakutisha tu hao usiwasikilize…sitaki kuongea sana maana ninaficha identity yangu…we nenda kasome Japan au Korea…mwaka wa kusoma lugha ni kawaida na unafundishwa from basics, na ma lecture wengi wanamix lugha…
  2. pulex

    PostGE2025 We ulisikia wapi Mwenyekiti 'Tume ya Rais' anawasilisha 'Ripoti ya Rais' kwa 'Rais' halafu anakuja kujieleza kwa wananchi? Msitupigie kelele!

    Nimejaribu kujiuliza uyu mama ana uwezo gani wa kufikiria, hivi kuna njia yoyote ya kujisafisha kwa mauaji ya namna ile, kweli aliamini kupitia hii tume ambayo kaitengeneza yeye ije imsafishe kweli, anasahau kosa kubwa unaloweza kufanya hapa duniani na ukakosa msamaha ni kuua. Chochote...
  3. pulex

    Scholarship za Japan MEXT: Waafrika tunafelishana wenyewe

    Pole sana…sio waafrika wote wana roho hiyo….Tanzania kuna kitu hakipo sawa. Pole sana mkuu. Anyway, application bado iko open ya mwaka 2027, imeanza April 2026 hadi May 2026 kutegemea na program unayotaka kusoma. Pitia hiyo link chini, documents zote tumia hyo address unayoona hapo, na kuepuka...
  4. pulex

    Je, ni sahihi mzazi kuuza nyumba au mali pasipo kuwaambia watoto wake?

    Kwani hizo mali mlitafuta na yeye au mlichangia? We zinakuhusu nini?…Tafuta na wewe zako
  5. pulex

    DOKEZO Mange Kimambi: Angalieni vizuri list ya magari yaliyoingizwa Tz mwaka 2024 kupitia kampuni ya Angela Kizigha, MAGMOP

    Mange Kimambi: Angalieni vizuri list ya magari yaliyoingizwa Tz mwaka 2024 kupitia kampuni ya Angela Kizigha, MAGMOP. Bugatti Chiron 2 zimeingizwa. Nimechoka kabisa.
  6. pulex

    DOKEZO Mange Kimambi: Angalieni vizuri list ya magari yaliyoingizwa Tz mwaka 2024 kupitia kampuni ya Angela Kizigha, MAGMOP

    Hii kampuni Magmop ni kampuni ya Angela Kizigha na iko registered kwa number yake ya simu, yani her own personal number. Mnaweza kucheki wenyewe ownership ya hii magmop. Naomba muangalie magari yaliyoingiziwa Tanzania na hii kampuni ya Kizigha hiyo Magmop. Watanzania wanaibiwa kwa kiasi hiki...
  7. pulex

    Video: Ingawa ni funzo lakini tukio hili limenihuzunisha sana kuona namna watanzania tulivyo wakatili, hiki sio kipigo ni mauaji

    Mi kuangalia tu nimesisimuka…sipati picha yule anayempiga na kumpasua..kweli tumetofautiana.
  8. pulex

    Makonda anamlenga nani kuelekea 2030?

    Hata mimi nimeshangaa aisee, uyu mama wakitaka mpitisha tena hyo 2030, basi wajiandae kuua sana, maana hata hizo risasi hazitatosha.
  9. pulex

    Samia ndiye Rais wa Kwanza Kujenga Stendi Kila Mji Tanzania Hadi Mikoa Iliyokuwa Imeshindikana kama Arusha na Mbeya

    Samia ndo Raisi wa kwanza kulipa pesa nyingi Machawa kulazimisha watu wampende na kumwelezea aliyoyafanya tofauti na uhalisia na mambo yanavyoonekana.
  10. pulex

    Israel yadai kumuua Kiongozi wa Iran Ayatollah Khamenei

    Yaani baada ya hili tukio, kama wairan wakipata uthubutu wa kufanya maandamano kama waliofanya majuzi, nchi yao washaibeba…
  11. pulex

    Usimsikilize Mzanzibari Sama Ukitaka siku yako iishe Vizuri. Anabwatuka

    Yaan hawa wauaji wanajiamini kwasababu wanajua watanganyika wengi hawana silaha…ila ni swala la muda tu.
  12. pulex

    Rais Samia amefuata ushauri wa Prof. Janabi? Mbona amepungua sana!

    Mimi nimeshangaa sana, polepole alimpa ushauri mzuri mnoo wa kustaafu kwa heshima, na sasa hiyo nafasi haipo tena maana akitoka kwenye mfumo iwe kwa kifo au kwa kulazimishwa…uzao wake hauna future yoyote Tanganyika, heshima yote ambayo angeipata kma angestaafu kwa kufuata ushauri wa polepole...
  13. pulex

    Kila kona wananchi wanasema hawakukuchagua hauna budi kuwa karibu na jeshi

    Uwa nashindwa kuelewa, hivi haya mauaji walitegemea nini kitatokea baada ya ukatili huu?
  14. pulex

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Kizimkazi ametoa mamlaka yote kwa mtoto kuendesha Tanganyika, yeye akiwa zanzibar. Ikitokea minong’ono, wanaandaa tukio, anakuja bara, alafu uyo anarudi zake. Tanganyika ilimkosea nini Mkwere hadi kuiweka kwenye huu msiba. Mauaji ya kimbari, kutekwa, kulawitiwa na ufisadi wa kihistoria..,
Back
Top Bottom