Wanakutisha tu hao usiwasikilize…sitaki kuongea sana maana ninaficha identity yangu…we nenda kasome Japan au Korea…mwaka wa kusoma lugha ni kawaida na unafundishwa from basics, na ma lecture wengi wanamix lugha…
Nimejaribu kujiuliza uyu mama ana uwezo gani wa kufikiria, hivi kuna njia yoyote ya kujisafisha kwa mauaji ya namna ile, kweli aliamini kupitia hii tume ambayo kaitengeneza yeye ije imsafishe kweli, anasahau kosa kubwa unaloweza kufanya hapa duniani na ukakosa msamaha ni kuua.
Chochote...
Pole sana…sio waafrika wote wana roho hiyo….Tanzania kuna kitu hakipo sawa. Pole sana mkuu.
Anyway, application bado iko open ya mwaka 2027, imeanza April 2026 hadi May 2026 kutegemea na program unayotaka kusoma.
Pitia hiyo link chini, documents zote tumia hyo address unayoona hapo, na kuepuka...
Mange Kimambi: Angalieni vizuri list ya magari yaliyoingizwa Tz mwaka 2024 kupitia kampuni ya Angela Kizigha, MAGMOP. Bugatti Chiron 2 zimeingizwa. Nimechoka kabisa.
Hii kampuni Magmop ni kampuni ya Angela Kizigha na iko registered kwa number yake ya simu, yani her own personal number. Mnaweza kucheki wenyewe ownership ya hii magmop.
Naomba muangalie magari yaliyoingiziwa Tanzania na hii kampuni ya Kizigha hiyo Magmop.
Watanzania wanaibiwa kwa kiasi hiki...
Mimi nimeshangaa sana, polepole alimpa ushauri mzuri mnoo wa kustaafu kwa heshima, na sasa hiyo nafasi haipo tena maana akitoka kwenye mfumo iwe kwa kifo au kwa kulazimishwa…uzao wake hauna future yoyote Tanganyika, heshima yote ambayo angeipata kma angestaafu kwa kufuata ushauri wa polepole...
Kizimkazi ametoa mamlaka yote kwa mtoto kuendesha Tanganyika, yeye akiwa zanzibar.
Ikitokea minong’ono, wanaandaa tukio, anakuja bara, alafu uyo anarudi zake.
Tanganyika ilimkosea nini Mkwere hadi kuiweka kwenye huu msiba. Mauaji ya kimbari, kutekwa, kulawitiwa na ufisadi wa kihistoria..,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.