Recent content by pulex

  1. pulex

    JamiiForums Tanzania Muda ni Mwalimu mzuri sana: Siasa ni kama upepo, hubadilika wakati wowote

    Kuna muda nafurahi MAMA YENU kuwa madarakani maana kuna wale matomaso ndani na nje ya CCM walifikiri katiba mpya sio kipao mbele au kitu cha ulazima. Pia wengine walikuwa wanasikia kuwa kuna wana mtandao akina kikwete ni cancer ya taifa hili. Uyu mama amekuja kuweka mambo uchi kabisa, uko mbele...
  2. pulex

    JamiiForums Tanzania Je wajua Tanzania ndo nchi ya pekee Africa yenye visima /hifadhi ya gesi kubwa lakini karibu hifadhi au visima vyake vyote haina umiliki navyo?

    Tanzania imemilikisha au kuuza hifadhi za gesi kwa mashirika au kampuni za nje na haina umiliki wa asilimia zozote badala yake wamegewa haki ya kushiriki kupitia TPDC ila hawana umiliki, na baadhi ya visima/hifadhi wameficha taarifa za umiliki, ni huzuni sana. Visima au hifadhi...
  3. pulex

    JamiiForums Tanzania Nchi tatu za Ulaya zinaongozwa na marais mashoga; hatuna cha kushauriwa nao

    Mama yenu si alisema anafungua nchi…kiko wapi….kazi ni kuua twatanganyika tu kila kukicha
  4. pulex

    JamiiForums Tanzania Scholarship za Japan MEXT: Waafrika tunafelishana wenyewe

    Wanakutisha tu hao usiwasikilize…sitaki kuongea sana maana ninaficha identity yangu…we nenda kasome Japan au Korea…mwaka wa kusoma lugha ni kawaida na unafundishwa from basics, na ma lecture wengi wanamix lugha…
  5. pulex

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 We ulisikia wapi Mwenyekiti 'Tume ya Rais' anawasilisha 'Ripoti ya Rais' kwa 'Rais' halafu anakuja kujieleza kwa wananchi? Msitupigie kelele!

    Nimejaribu kujiuliza uyu mama ana uwezo gani wa kufikiria, hivi kuna njia yoyote ya kujisafisha kwa mauaji ya namna ile, kweli aliamini kupitia hii tume ambayo kaitengeneza yeye ije imsafishe kweli, anasahau kosa kubwa unaloweza kufanya hapa duniani na ukakosa msamaha ni kuua. Chochote...
  6. pulex

    JamiiForums Tanzania Scholarship za Japan MEXT: Waafrika tunafelishana wenyewe

    Pole sana…sio waafrika wote wana roho hiyo….Tanzania kuna kitu hakipo sawa. Pole sana mkuu. Anyway, application bado iko open ya mwaka 2027, imeanza April 2026 hadi May 2026 kutegemea na program unayotaka kusoma. Pitia hiyo link chini, documents zote tumia hyo address unayoona hapo, na kuepuka...
  7. pulex

    JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi mzazi kuuza nyumba au mali pasipo kuwaambia watoto wake?

    Kwani hizo mali mlitafuta na yeye au mlichangia? We zinakuhusu nini?…Tafuta na wewe zako
  8. pulex

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mange Kimambi: Angalieni vizuri list ya magari yaliyoingizwa Tz mwaka 2024 kupitia kampuni ya Angela Kizigha, MAGMOP

    Mange Kimambi: Angalieni vizuri list ya magari yaliyoingizwa Tz mwaka 2024 kupitia kampuni ya Angela Kizigha, MAGMOP. Bugatti Chiron 2 zimeingizwa. Nimechoka kabisa.
  9. pulex

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mange Kimambi: Angalieni vizuri list ya magari yaliyoingizwa Tz mwaka 2024 kupitia kampuni ya Angela Kizigha, MAGMOP

    Hii kampuni Magmop ni kampuni ya Angela Kizigha na iko registered kwa number yake ya simu, yani her own personal number. Mnaweza kucheki wenyewe ownership ya hii magmop. Naomba muangalie magari yaliyoingiziwa Tanzania na hii kampuni ya Kizigha hiyo Magmop. Watanzania wanaibiwa kwa kiasi hiki...
  10. pulex

    JamiiForums Tanzania Video: Ingawa ni funzo lakini tukio hili limenihuzunisha sana kuona namna watanzania tulivyo wakatili, hiki sio kipigo ni mauaji

    Mi kuangalia tu nimesisimuka…sipati picha yule anayempiga na kumpasua..kweli tumetofautiana.
  11. pulex

    JamiiForums Tanzania Makonda anamlenga nani kuelekea 2030?

    Hata mimi nimeshangaa aisee, uyu mama wakitaka mpitisha tena hyo 2030, basi wajiandae kuua sana, maana hata hizo risasi hazitatosha.
  12. pulex

    JamiiForums Tanzania Samia ndiye Rais wa Kwanza Kujenga Stendi Kila Mji Tanzania Hadi Mikoa Iliyokuwa Imeshindikana kama Arusha na Mbeya

    Samia ndo Raisi wa kwanza kulipa pesa nyingi Machawa kulazimisha watu wampende na kumwelezea aliyoyafanya tofauti na uhalisia na mambo yanavyoonekana.
  13. pulex

    JamiiForums Tanzania Israel yadai kumuua Kiongozi wa Iran Ayatollah Khamenei

    Yaani baada ya hili tukio, kama wairan wakipata uthubutu wa kufanya maandamano kama waliofanya majuzi, nchi yao washaibeba…
Back
Top Bottom