Mimi nashaangaa sana hivi yupo kweli aliyemsafi kwenye iyo system yao.....ilo la uchafu na ufisadi wa Lowassa ni kazi bure maana wote wachafu hata huyo sijui joka la mdimu sijui nani....
Ningekuwepo ningemnunulia dozen ingine ya iyo dawa na iyo ningeilipia....I feel bad.... For him to steal iyo dawa he has a big problem with money...mbu zinamla sana huko kwake masikini mwe....I don't even see it funny mpaka watu mnadai pic Yake tuhurumiane jamani kwenye haya maisha hatufanani...
Wamuadhibu kwa lipi wakati walimtuma wenyewe aseme vile....hivi nyinyi mnafikiria kwa kuongea vile Masele aliamua mwenyewe...katumwa na hao hao wakubwa zake,chezea CCM weye.....kuna kazi hapo, Yule kafanywa kafara tu Kama hujui.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.