Usije ukalia baadae, useme hukujua.[emoji116]
1. Kama umepokea ujumbe kutoka Kwa mtu unayemuamini sana
Mfano anakwambia Kuna site ya kuinvest na unapata faida kubwa
Cha kwanza FIKIRI.
Pili: usiingie Kwa wakati huohuo
Tatu: fanyia tafiti at least miezi 3
Nne: akuonyeshe yeye kufaulu kwake...
KINANGE App ni online e-commerce platform inayokuwezesha wewe mfanyabiashara kulist bidhaa zako buree na kupata wateja wengi. Kinange App sasa Ina wateja wengi lakini Haina bidhaa nyingi zinazohitajika na wateja kama Simi, radio, tv nk
Mfanyabiashara pakua app ya Kinange playstore sasa na...
Habari zenu JF expert members.
Nahitaji kujua kutangaza na Jamii Forums gharama zake (kama ni Admin/mod inbox Kwa maelezo zaidi) na wewe mwingine share ujuzi wako kuhusu kutangaza na Jamii Forums.
Asante
Ukweli ni kwamba hiyo mitandao ni Bure lakini kila kukicha wanaweka sheria kali na itafikia mahali itabidi ulipie Tangazo lako kwa lazima.... Sasa miliki website yako,ni kama kuwa na duka lako watu wanakuja dukani kwako moja kwa moja,hata masoko wakifunga wewe unaendelea kuuza dukani kwako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.