HABARI,
Hivi wanajamvi kuna umuhimu gani kusoma kozi ya risk management and insurance? Na kama upo vipi Ajira zake maana -kujiari via iyo kozi ni kipngele sana.
Mwenye -positive idea please share we with us.
Shukrani sana.. Ndugu
Lakin swali langu LA kwanza je unaenda kufanya usajili katika chuo chochote ulicho chaguliwa lakini kiwe kimoja tu sasa VP kwa wale ambao tumefanya confirmation Mara moja na bado TCU inatutumia code. ???
La pili kama ni usajili chuon kwa watu kama hawa waliotajwa na TCU...
Salaam, napenda kuuliza utaratibu wa kupata hosteli ? Na ni bei gan kwa semister , locations ?
Je naweza mtu akanishikia chumba huko hosteli za chuo?
Msaada wenye ujuz
We ulie acha mechanical utajutia mbeleni
mech eng unaweza kujiari inawigo mpana sana hasa kwa nch kama tanzania inayoendelea mech eng , kila mahali.
Kama wanavyosema graduate, maliza chuo huone infact kujiari kwa mtu aliemaliza chuo cha maji ni ngumu sana, vilivile kuajiriwa si rahic sana...
#TANZANIA YANGU
NASHUKURU SANA BRO, USHAURI WAKO NI MZURI SANA
SASA HUONI WANAWEZA FANYA NKOSE MKOPO KISAA BODI YA MKOPO HAJATAMBUA NIPO CHUO GANI MPAKA SASA. KIUKWELI MM NIMECHAGALIWA FIRST ROUND BT TCU WAMENISUMBUA HADI SASA BRO.. BADO TU
Bro , nimeconfrm na pia hawana options tena pale kwa sababu tiar nimesha confrm..... Na pia nimeenda chuo husika kuakikisha wakaniambia mi ni mwanaafunzi wao tiar ... Na shangaa tcu bado wamening'ania tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.