Recent content by prumpeti

  1. prumpeti

    Kutembea na baba mkwe

    😁😁😁si atulie jamaa akiondoka baba mtu anaendelea kumkamua au ye anataka aolewe tena na baba mkwe???
  2. prumpeti

    Hili la bwana mdogo (mwanafunzi) kujisomea kwenye taa za barabarani limekaa kisiasa kabisa

    Kigezo ni kigezo hata angetumia ambayo anasoma na moto wa jalalani mngeuliza tu hakuna nyinginee kwaiyo serikali na wanasiasa wasibugie tu hela wakumbuke nchi hii bado sana
  3. prumpeti

    Hili la bwana mdogo (mwanafunzi) kujisomea kwenye taa za barabarani limekaa kisiasa kabisa

    Umetumika tu kuikumbusha serikali kwamba bado kuna changamoto ya umeme maeneo mbalimbali na hilo lipo wazi kabisaa.
  4. prumpeti

    Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    😂😂😂😂 Asee sijui mtu unawezaje kula ile mahali duuh...
  5. prumpeti

    Kwa bajeti ya 10M - 12M naweza kupata gari gani used kutoka Japan?

    Si uchukue Rav4 old model mkononi hapa hapa bongo mkuu ukitulia ukajipa muda utapata usiweke vipengele vingi sna unapotaka nunua gari wakati hela ni ya manati😁😁😁😂
  6. prumpeti

    Hili la bwana mdogo (mwanafunzi) kujisomea kwenye taa za barabarani limekaa kisiasa kabisa

    Dogo home umeme upo ila umekatika hizi taa ni za solar system dogo akaona vita na mwalimu ya nini ngoja nikamalize kazi yake road hapo hakuna siasa wala nini...
  7. prumpeti

    Nilikuwa Gumzo shule nzima baada ya kutumia hela ya ada

    Mi nilikula kama roho ya michango pamoja na ada kwenye 500 nikapeleka 300 risiti nikapewa nikatumia kalamu nyeusi kurekebisha ionekane nimelipia 500 mambo yakaenda hivyo nikizungushana na mwasibu mpaka namaliza shule nadaiwa. Sikuwahi kufata cheti wala nini mana nilizungusha nikavamia mtaa...
  8. prumpeti

    hii ndoto inamaana gani? kitu ambacho ni sahihi naambiwa sio sahihi

    Ulichakata hiyo mama ulichakata?? Hizo sio hela ni kumbikumbi.
  9. prumpeti

    Mwanza: Ajikata uume wake akitaka kujiua

    😂😂😂jamaa amekata kitu kigumu sasa awekewe kitu kilaini
  10. prumpeti

    Daktari kesi ya Afande Rama asema baada ya vipimo amebaini kuna uwazi sehemu za siri za nyuma za mshtakiwa

    Naskia eti wakati anapimwa mzuka ukampanda akaanza mvuta koti doctor... Hili jamaa sura ya kiume mambo ya kingese.... Eti ndo mlinzi wa raiya na Mali zao sasa akikutana na majambazi wanavyo kuwaga makauzu si ataibiwa na yeye akawapikie maulama ugali huko kwenye mapango😁😁💔💔👎
  11. prumpeti

    Aisee! Shangaa na wewe

    Mkuu video ninayo sio CCTV ni camera ya simu na mume ndo alikuwa ameshika mana ukiangalia mwanamke alianguka karibu na koch jamaa alilokuwa amelala naweza kukutumia ukajiridhisha kwamba jamaa alikuwa na ujasiri wa ajabu kabisa.
  12. prumpeti

    Urusi imeshawahi kuiwekea vikwazo Marekani?

    😁😁😁Russia hii inayo pora mashamba Ukraine au ile tuliyokuwa tunasimuliwa habari zake?kama ni hii itasubiri sana ila kama ni ile ya kwenye vijiwe vya kahawa inaweza ifuta America upesi sana.
  13. prumpeti

    Aisee! Shangaa na wewe

    Kutengeneza kesi ya aina gani sasa
Back
Top Bottom