Nahitaji kujua ni maeneo yapi hapa Mwanza iwe Wilaya/Kata au kijiki/mtaa ambalo hawajafikiwa kabisa na huduma ya maji ya mamlaka na watu/wakazi wake wanatumia maji ya kisima, mito au maziwa. Nahitaji hii Kwa ajili ya utafiti wa kielimu.
Nije Moja Kwa Moja kwenye mada. Nahitaji kujua ni maeneo au eneo gani iwe Eilaya/Kata au kijiki/mtaa ambalo hawajafikiwa kabisa na huduma ya maji ya mamlaka, na Wakazi wake wanatumia maji ya kisima, mito au maziwa.
Nahitaji hii Kwa ajili ya utafiti wa kielimu.
Hii ni kawaida sana, mala nyingi pressure inakua juu ukiwa hujatulia. Mfano ukiwa umetoka kupanda ngazi za gorofa 4 na ukapima pressure wakati huohuo, lazima itakuwa juu.Lakinj ukipimzika Kwa dakika kadhaa halafu ukapima, utakuta ipo chini.
Pole sana dada Kwa changamoto unayopitia. As long as you still alive endelea kumwomba Mungu na mwombee pia. Anachopitia mama ni ishu ya Kisaklojia tu kama unaweza mtafutie msaada wa kitabibu apate kutibiwa.
Ipo hivi hata kama Mama amepotia mateso kiasi gani wakati wa kukuzaa, hawezi kukuchukia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.