Mbona kama unajichanganya mwenyewe? nafikiri unamuwakilisha mtu katika CMA hivyo ni vyema ukarudi kusoma provisions za sheria na kuelewa vyema kwani kila kitu kimeelezwa bayana...
Pole kwa changamoto,Pesa huwa zinaaingia kuanzia ndani ya mwezi toka tarehe ya kufungua madai, japo naimani kwenye fomu yako ya madai uliandikiwa muda ambao utatakiwa kurudi katika ofisi za NSSF endapo hela itakuwa haijaingia katika akaunti yako.Hivyo kuwa nasubira kidogo Mkuu
Poleni sana kwa changamoto,kama tatizo nikutolipwa mishahara nenda CMA kafungue madai ya kutolipwa mishahara(Breach of Contract) .
Michango ya NSSF ,itabidi uende NSSF iliyokaribh na wewe onana na Meneja na umpe malalamiko Yako pia jitahidi kuwa umetunza salary slips zako maana zitakusaidia...
kupanda madaraja hasa kwa watumishi wa umma naona iko na process kidogo na endapo kama ulisimamishwa kazi kwa sababu za kinidhamu hata kama ikaja kuonekana huna kosa huwa ni ngumu sana kupanda cheo kwa haraka,japo nafikiri kuna vitu vingi sana ambavyo hujaweka wazi nakushauri tafuta Wakili au...
pole kwa changamoto,ila alipataje vyeti vyako? na je unazungumzia original certificate au zipi? je uko na ushahidi kwa hilo unaloshutumu? kama uko na uhakika na ushahidi uko nao nafikiri ni vyema ukafanya kama ulivyoelezwa hapi juu kwa kutoa taarifa polisi kwani ni False Pretences hiyo,pia kama...
nimependa ulivyoanza kuelezea tatizo.
kama walikuwa wanapigana na mmoja akafariki kutokana na mapugano hayo japo siyo kwa kukusudia(hata kama ni wanandoa) basi moja kwa moja atashtakiwa kwa kosa la kuua(murder)ambapo serikali itaandaa hati hiyo ya mashtaka na taratibu za kisheria zitafuatwa,ila...
ntajitahidi kufanya hivyo kila ninapotamuda,maana kutype kwa muda mrefu inasumbua angalau kama kungekuwa na Voicerecording ingesaidia sana. Ntajitahidi kuja na majibu soon
nafikiri iko wazi kwamba stahiki zako za nyuma hautalipwa bali utaanza kulipwa kuanzia tarehe ambayo maamuzi ya kamati ya Nidhamu yametoka. Mfano Maamuzi yametolewa tarehe 25-02-2025 na mwajiri alipewa maelekezo ya kukurudisha kazini,na endapo mwajiri akakurudisha kazini tarehe 05-03-2025...
uko na correct reasoning lakini kuna vitu ni vyema kuviangalia pia, ulishajiuliza ni katika mazingira gani relief hizo zinatolewa? na wakati gani hizo compromises zinafanyika?
Utarataibu wa yeye kurudi kazini ulisababishwa na nini? 1. Amri ya Mahakama? kama ni kwa sababu hii basi inamaana CMA/Mahakama tayari ilitoa maelekezo kama Mfanyakazi kulipwa stahiki zake(mshahara au likizo) ambazo alikuwa hakupewa na mwajiri katika kipindi chote. Hivyo nashauri ukarejelee...
Pole kwa changamoto,ila unaweza kufanya mawasiliano na Wakili aliyekuwa akimuwakilisha Marehemu Mama yako kujua mwenendo wa kesi yako,ili uweze kufahamu hatua za kufuata,pia mlishafungua kesi ya Mirathi ya Marehemu Mama na Baba yako? je,wewe ni msimamizi wa mirathi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.