Recent content by Prosperity96

  1. P

    JamiiForums Tanzania Sheria ya ajira kuhusu haki ya mwajiriwa anapohamishwa

    Pole sana, naomba kujibu kesho nikiwa nikiwa nimetulia
  2. P

    JamiiForums Tanzania Sheria ya ajira kuhusu haki ya mwajiriwa anapohamishwa

    Habari, bado sijaweza kuelewa tatizo lako; 1. ni kwamba umebadilishwa mkoa au eneo la kazi lakini mwajiri ni yule yule? 2. umepelekwa kwa Mwajiri mpya? na mkoa ni tofauti? 3. Kampuni iliyokuajiri awali ni group of Companies au? 4. Mkataba wako ulikuwa umeisha? au ulivunjwa? au ulihama na kila...
  3. P

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi kijana kufungwa miaka 30 kwa kumpa mimba mwanafunzi?

    Kwa Sheria ya Mkaosa ya jinai inasema na Sheria ya Elimu inasemaje Mkuu? Maana nafikiri zote zinatoa adhabu hiyo lakini kijamii uko na hoja nzuri ambazo zinaweza kuchukuliwa na wahusika na wakafanyia kazi, japo dhima/lengo la adhabu hiyo kuwka ni kwa ajili ya kukomesha na kutoa funzo kwa watu...
  4. P

    JamiiForums Tanzania HOJA Malipo ya 'Special lumpsum' ya NSSF si ya haki

    Pole sana, mawazo yako ni sahihi lakini ndio maana mimi natumia medical benefits yao vyakutosha
  5. P

    JamiiForums Tanzania HOJA Malipo ya 'Special lumpsum' ya NSSF si ya haki

    kwa sasa unaweza kuchukua yote japo kuna vipengele kidogo vya kufuata, na pia kuna namna ya kuchukua yote ya kisheria kidogo
  6. P

    JamiiForums Tanzania Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

    Kwa maelezo uliyoyatoa, inaonekana mwajiri alifuata utaratibu wa kufanya mashauriano kabla ya kusitisha ajira kutokana na kusitishwa kwa mradi. Aidha, mlifanya kikao cha tarehe 28 Mei 2025 na mkasaini makubaliano yaliyobainisha stahiki mlizopaswa kulipwa, ikiwemo mshahara wa mwezi Mei, gratuity...
  7. P

    JamiiForums Tanzania Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

    Sawa Mkuu, ngoja nitoe mawazo yangu kwenye changamoto yake. Nashukuru kwa ushauri
  8. P

    JamiiForums Tanzania Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

    Pole sana kwa changamoto naimani ulipata msaada.
  9. P

    JamiiForums Tanzania Overtime na jinsi ya kudhibitisha kwenye tume ya usuluhishi

    Mbona kama unajichanganya mwenyewe? nafikiri unamuwakilisha mtu katika CMA hivyo ni vyema ukarudi kusoma provisions za sheria na kuelewa vyema kwani kila kitu kimeelezwa bayana...
  10. P

    JamiiForums Tanzania Employment and Labour Relations Act. Cap. 366 - Section 40

    Amina na nashukuru kwa dua njema. Unahitaji kupata Gazeti la serikali?
  11. P

    JamiiForums Tanzania Bachelor of computer science Jordan university college

    hakuna hivyo vifaa,tafuta sehemu nyingine kama MUST, NELSON MANDELA etc
  12. P

    JamiiForums Tanzania Nssf mafao

    Pole kwa changamoto,Pesa huwa zinaaingia kuanzia ndani ya mwezi toka tarehe ya kufungua madai, japo naimani kwenye fomu yako ya madai uliandikiwa muda ambao utatakiwa kurudi katika ofisi za NSSF endapo hela itakuwa haijaingia katika akaunti yako.Hivyo kuwa nasubira kidogo Mkuu
  13. P

    JamiiForums Tanzania Kuishitaki kampuni kwa kutokulipa mishahara na kuchangia NSSF

    Poleni sana kwa changamoto,kama tatizo nikutolipwa mishahara nenda CMA kafungue madai ya kutolipwa mishahara(Breach of Contract) . Michango ya NSSF ,itabidi uende NSSF iliyokaribh na wewe onana na Meneja na umpe malalamiko Yako pia jitahidi kuwa umetunza salary slips zako maana zitakusaidia...
  14. P

    JamiiForums Tanzania Employment and Labour Relations Act. Cap. 366 - Section 40

    kupanda madaraja hasa kwa watumishi wa umma naona iko na process kidogo na endapo kama ulisimamishwa kazi kwa sababu za kinidhamu hata kama ikaja kuonekana huna kosa huwa ni ngumu sana kupanda cheo kwa haraka,japo nafikiri kuna vitu vingi sana ambavyo hujaweka wazi nakushauri tafuta Wakili au...
  15. P

    JamiiForums Tanzania Msaada kisheria kuhusu (Fraud) mtu kutumia cheti cha mtu mwingine katika kazi zake

    pole kwa changamoto,ila alipataje vyeti vyako? na je unazungumzia original certificate au zipi? je uko na ushahidi kwa hilo unaloshutumu? kama uko na uhakika na ushahidi uko nao nafikiri ni vyema ukafanya kama ulivyoelezwa hapi juu kwa kutoa taarifa polisi kwani ni False Pretences hiyo,pia kama...
Back
Top Bottom