Recent content by Prosperity96

  1. P

    JamiiForums Tanzania Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

    Karibu
  2. P

    JamiiForums Tanzania Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

    OAG MIS | Home - Online Laws Catalogue - nenda OAGMIS hii ndio site yenye legislation karibu zote ukikosa nenda Tanzlii sehemu la Legislations
  3. P

    JamiiForums Tanzania Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

    Japo siyo Revised Edition Mpya
  4. P

    JamiiForums Tanzania Sheria ya ajira kuhusu haki ya mwajiriwa anapohamishwa

    1. Mkataba uliopewa ulikuwa ni wa aina gani? au muda gani? 2. Nashindwa kukupa majibu ya moja kwa moja kwani sielewi aina ya mkataba uliokuwa nao, maana pia sikuhizi kuna intenship contract ambayo inaenda hadi mwaka mmoja na mwajiri akawa anakuwekea hela za NSSF 3. Pia kama ulikuwa kwenye...
  5. P

    JamiiForums Tanzania Sheria ya ajira kuhusu haki ya mwajiriwa anapohamishwa

    Dah umenyoosha hatari
  6. P

    JamiiForums Tanzania Sheria ya ajira kuhusu haki ya mwajiriwa anapohamishwa

    Hello, Mimi siyo Kaka ila nakujibu leo
  7. P

    JamiiForums Tanzania Sheria ya ajira kuhusu haki ya mwajiriwa anapohamishwa

    Pole sana, naomba kujibu kesho nikiwa nikiwa nimetulia
  8. P

    JamiiForums Tanzania Sheria ya ajira kuhusu haki ya mwajiriwa anapohamishwa

    Habari, bado sijaweza kuelewa tatizo lako; 1. ni kwamba umebadilishwa mkoa au eneo la kazi lakini mwajiri ni yule yule? 2. umepelekwa kwa Mwajiri mpya? na mkoa ni tofauti? 3. Kampuni iliyokuajiri awali ni group of Companies au? 4. Mkataba wako ulikuwa umeisha? au ulivunjwa? au ulihama na kila...
  9. P

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi kijana kufungwa miaka 30 kwa kumpa mimba mwanafunzi?

    Kwa Sheria ya Mkaosa ya jinai inasema na Sheria ya Elimu inasemaje Mkuu? Maana nafikiri zote zinatoa adhabu hiyo lakini kijamii uko na hoja nzuri ambazo zinaweza kuchukuliwa na wahusika na wakafanyia kazi, japo dhima/lengo la adhabu hiyo kuwka ni kwa ajili ya kukomesha na kutoa funzo kwa watu...
  10. P

    JamiiForums Tanzania HOJA Malipo ya 'Special lumpsum' ya NSSF si ya haki

    Pole sana, mawazo yako ni sahihi lakini ndio maana mimi natumia medical benefits yao vyakutosha
  11. P

    JamiiForums Tanzania HOJA Malipo ya 'Special lumpsum' ya NSSF si ya haki

    kwa sasa unaweza kuchukua yote japo kuna vipengele kidogo vya kufuata, na pia kuna namna ya kuchukua yote ya kisheria kidogo
  12. P

    JamiiForums Tanzania Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

    Kwa maelezo uliyoyatoa, inaonekana mwajiri alifuata utaratibu wa kufanya mashauriano kabla ya kusitisha ajira kutokana na kusitishwa kwa mradi. Aidha, mlifanya kikao cha tarehe 28 Mei 2025 na mkasaini makubaliano yaliyobainisha stahiki mlizopaswa kulipwa, ikiwemo mshahara wa mwezi Mei, gratuity...
  13. P

    JamiiForums Tanzania Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

    Sawa Mkuu, ngoja nitoe mawazo yangu kwenye changamoto yake. Nashukuru kwa ushauri
  14. P

    JamiiForums Tanzania Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

    Pole sana kwa changamoto naimani ulipata msaada.
  15. P

    JamiiForums Tanzania Overtime na jinsi ya kudhibitisha kwenye tume ya usuluhishi

    Mbona kama unajichanganya mwenyewe? nafikiri unamuwakilisha mtu katika CMA hivyo ni vyema ukarudi kusoma provisions za sheria na kuelewa vyema kwani kila kitu kimeelezwa bayana...
Back
Top Bottom