Habari, bado sijaweza kuelewa tatizo lako;
1. ni kwamba umebadilishwa mkoa au eneo la kazi lakini mwajiri ni yule yule?
2. umepelekwa kwa Mwajiri mpya? na mkoa ni tofauti?
3. Kampuni iliyokuajiri awali ni group of Companies au?
4. Mkataba wako ulikuwa umeisha? au ulivunjwa? au ulihama na kila...
Kwa Sheria ya Mkaosa ya jinai inasema na Sheria ya Elimu inasemaje Mkuu? Maana nafikiri zote zinatoa adhabu hiyo lakini kijamii uko na hoja nzuri ambazo zinaweza kuchukuliwa na wahusika na wakafanyia kazi, japo dhima/lengo la adhabu hiyo kuwka ni kwa ajili ya kukomesha na kutoa funzo kwa watu...
Kwa maelezo uliyoyatoa, inaonekana mwajiri alifuata utaratibu wa kufanya mashauriano kabla ya kusitisha ajira kutokana na kusitishwa kwa mradi. Aidha, mlifanya kikao cha tarehe 28 Mei 2025 na mkasaini makubaliano yaliyobainisha stahiki mlizopaswa kulipwa, ikiwemo mshahara wa mwezi Mei, gratuity...
Mbona kama unajichanganya mwenyewe? nafikiri unamuwakilisha mtu katika CMA hivyo ni vyema ukarudi kusoma provisions za sheria na kuelewa vyema kwani kila kitu kimeelezwa bayana...
Pole kwa changamoto,Pesa huwa zinaaingia kuanzia ndani ya mwezi toka tarehe ya kufungua madai, japo naimani kwenye fomu yako ya madai uliandikiwa muda ambao utatakiwa kurudi katika ofisi za NSSF endapo hela itakuwa haijaingia katika akaunti yako.Hivyo kuwa nasubira kidogo Mkuu
Poleni sana kwa changamoto,kama tatizo nikutolipwa mishahara nenda CMA kafungue madai ya kutolipwa mishahara(Breach of Contract) .
Michango ya NSSF ,itabidi uende NSSF iliyokaribh na wewe onana na Meneja na umpe malalamiko Yako pia jitahidi kuwa umetunza salary slips zako maana zitakusaidia...
kupanda madaraja hasa kwa watumishi wa umma naona iko na process kidogo na endapo kama ulisimamishwa kazi kwa sababu za kinidhamu hata kama ikaja kuonekana huna kosa huwa ni ngumu sana kupanda cheo kwa haraka,japo nafikiri kuna vitu vingi sana ambavyo hujaweka wazi nakushauri tafuta Wakili au...
pole kwa changamoto,ila alipataje vyeti vyako? na je unazungumzia original certificate au zipi? je uko na ushahidi kwa hilo unaloshutumu? kama uko na uhakika na ushahidi uko nao nafikiri ni vyema ukafanya kama ulivyoelezwa hapi juu kwa kutoa taarifa polisi kwani ni False Pretences hiyo,pia kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.