Recent content by proskaeur

  1. proskaeur

    Nauza ream paper bei 50,000 kwa katoni, quality ya Double A 100%

    Wakuu wote mliouliza nachukua nafasi hii kumjibia, Carton Moja inakaa ream Tano, Asanteni nyote Kwa uvumilivu wenu
  2. proskaeur

    Claude ni chat bot nzuri kuliko ChatGpt, ni swala la muda tu

    Mkuu nimejaribu ila imenigomea, hapa Kuna image ya namna unaniletea Majibu nikijisajili
  3. proskaeur

    Claude ni chat bot nzuri kuliko ChatGpt, ni swala la muda tu

    Nisaidie namna ya ku access hii Claude maana nimeingia google nika search then Inataka ni Create account ila Kila niki create account inataka niweke namba ya simu nikifanya hivo Kwa kuweka +255 code ya Tanzania then namba yangu ya simu inasema phone number doesn't exist, nafanyaje mkuu kuepuka...
  4. proskaeur

    2026! Mambo muhimu ya kuzingatia kiuchumi kabla ya kuanza ujenzi

    Malipo yako ni kiasi gani Kwa kazi yote hiyo boss
  5. proskaeur

    Nimeona mtoto anakojoa lakini mkojo hautokei kwenye chululu

    Ukiangalia kwenye picha hapo, hicho ki penis kimetokezea katikati ya mashavu ya uke, hivyo kusababisha kuwa na gender mbili, na kama mtoto uliyemuona alipokojoa mkojo ulitoka Kwa chini means urethra inayotumika ni ya kwenye vagina na SI kwenye penis
  6. proskaeur

    Nimeona mtoto anakojoa lakini mkojo hautokei kwenye chululu

    Mkuu hii inaitwa ambiguous Genitalia, ni congenital malformation mtoto anazaoliwa akiwa hivo, but inaweza kuwa corrected kulingana na gender Ipi Iko prominent over gender nyingine, Hilo linakua decided na wataalamu Tazama picha hapa
  7. proskaeur

    Napataje barua ya uthibitisho wa safari? Ili kupata passport?

    Sijui uko wapi mkuu, ila ungelikua Moshi ni rahisi sana kupata Passport, hautoitumia zaidi ya laki 2 kama Kila kitu Kiko sawa, I mean kama Majina ya vyeti vyako e.g cha kuzaliwa na Cha mzazi na Nida zako hayatofautiani huku huhitaji hizo invitation letter, Mimi niliandikiwa barua ya utambulisho...
  8. proskaeur

    Kuna chuo chochote au taasisi naweza kujifunza kijerumani au kifaransa?

    KKuhusu online inabidi uwe na jitihada sana mkuu, kijerumani ni kigumu mnooo, ila ukipambana utaweza
  9. proskaeur

    Telegram sipokei verification code

    Heshima kwako mkuu, imekubali Kwa kutumia 1.1.1.1, ubarikiwe
  10. proskaeur

    Nawezaje kuagiza bidhaa kutoka China kwa kununua katika mtandao wa Alibaba nikapata hiyo bidhaa Kwa bei nafuu zaidi?

    Muulize supplier wako, hiyo dryer Ina CBM ngapi maana drier Moja haliwezi kufikisha CBM Moja, inaweza ku range kati ya 0.05_0.08cbm, hivyo CBM atakayokuambia unachukua unazidisha na hiyo 430$ hapo utapata bei ya kusafirisha mzigo wako
  11. proskaeur

    Ipi ni kampuni nzuri ya kusafirisha mizigo toka China kuja Tanzania?

    Silent ocean Meli, CBM Moja 400$, Mo cargo Meli, CBM Moja 350$, ndege 14$ per 1kg Yoonek cargo Meli CBM Moja 400$, ndege 13.4$ per 1kg I hope itasaidia kidogo
  12. proskaeur

    FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium

    Daah, sasa mwanaume anatembeaje na viongozi au unamaanisha kiongozi wa kike?
  13. proskaeur

    KERO Responded Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) tunaomba kutatuliwa changamoto ya matokeo tangu 2020 hatujapata vyeti

    Ukishamaliza chuo huwa huwezi ku access SR, lakini ushahidi ni hayo matokeo ya miaka mingine yapo na wakiingia wao wenyewe kwenye mfumo wanayakuta matokeo ya miaka ya mbele Ila mwaka wa kwanza wanasema ndio Kuna hizo changamoto na Wana admit kuwa ni shida yao ndio maana kila Leo wanasema...
Back
Top Bottom