Recent content by proskaeur

  1. proskaeur

    JamiiForums Tanzania KERO Kulikoni Wanafunzi wa Sengerema College hawajapata Misimbo ya NACTE hadi sasa hivi? Tukiwapigia simu hazipatikani

    Mkuu pole sana Kwa Hilo tatizo, lakini mdau hapo juu alichokujibu ni sahihi kabisa, huwa Iko hivi wakati wa kuomba chuo mwanafunzi akishachaguliwa kama anataka kuhama chuo ni lazima awasiliane na chuo alichochaguliwa then atolewe kwenye system ya chuo anachotaka kuhama Ili Aidha aombe upya ama...
  2. proskaeur

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nawezaje kuishi bila kazi yeyote, tusaidiane

    Karibu
  3. proskaeur

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nawezaje kuishi bila kazi yeyote, tusaidiane

    Hii ya dagaa kama utahitaji kufanya, fanya hivi, nunua wale dagaa wa mafuta PURE namaanisha wale waliokaangwa wakiwa wabichi kabisa, then funga kwenye package kadiri utaona inafaa, zunguka mashuleni, supermarket peleka mzigo, lakini pia tafuta connection na manesi mahospitalini ndio mboga zao...
  4. proskaeur

    JamiiForums Tanzania Je, kuna ukweli kuhusu Phobia na Mental Disorders?

    Hii ni OCD mkuu, Kila mtu ana changamoto yake ya Afya ya akili ni vile hajakutana na triggering factor, mfano wa triggering factor ni genetic kama kwenye familia Kuna mtu ana shida ya Afya ya akili tunakua more likely na Sisi kulipuka, kingine ni environmental factors mfano madawa ya kulevya...
  5. proskaeur

    JamiiForums Tanzania Nauza ream paper bei 50,000 kwa katoni, quality ya Double A 100%

    Wakuu wote mliouliza nachukua nafasi hii kumjibia, Carton Moja inakaa ream Tano, Asanteni nyote Kwa uvumilivu wenu
  6. proskaeur

    JamiiForums Tanzania Claude ni chat bot nzuri kuliko ChatGpt, ni swala la muda tu

    Mkuu nimejaribu ila imenigomea, hapa Kuna image ya namna unaniletea Majibu nikijisajili
  7. proskaeur

    JamiiForums Tanzania Claude ni chat bot nzuri kuliko ChatGpt, ni swala la muda tu

    Nisaidie namna ya ku access hii Claude maana nimeingia google nika search then Inataka ni Create account ila Kila niki create account inataka niweke namba ya simu nikifanya hivo Kwa kuweka +255 code ya Tanzania then namba yangu ya simu inasema phone number doesn't exist, nafanyaje mkuu kuepuka...
  8. proskaeur

    JamiiForums Tanzania 2026! Mambo muhimu ya kuzingatia kiuchumi kabla ya kuanza ujenzi

    Malipo yako ni kiasi gani Kwa kazi yote hiyo boss
  9. proskaeur

    JamiiForums Tanzania Nimeona mtoto anakojoa lakini mkojo hautokei kwenye chululu

    Ukiangalia kwenye picha hapo, hicho ki penis kimetokezea katikati ya mashavu ya uke, hivyo kusababisha kuwa na gender mbili, na kama mtoto uliyemuona alipokojoa mkojo ulitoka Kwa chini means urethra inayotumika ni ya kwenye vagina na SI kwenye penis
  10. proskaeur

    JamiiForums Tanzania Nimeona mtoto anakojoa lakini mkojo hautokei kwenye chululu

    Mkuu hii inaitwa ambiguous Genitalia, ni congenital malformation mtoto anazaoliwa akiwa hivo, but inaweza kuwa corrected kulingana na gender Ipi Iko prominent over gender nyingine, Hilo linakua decided na wataalamu Tazama picha hapa
  11. proskaeur

    JamiiForums Tanzania Napataje barua ya uthibitisho wa safari? Ili kupata passport?

    Sijui uko wapi mkuu, ila ungelikua Moshi ni rahisi sana kupata Passport, hautoitumia zaidi ya laki 2 kama Kila kitu Kiko sawa, I mean kama Majina ya vyeti vyako e.g cha kuzaliwa na Cha mzazi na Nida zako hayatofautiani huku huhitaji hizo invitation letter, Mimi niliandikiwa barua ya utambulisho...
  12. proskaeur

    JamiiForums Tanzania Kuna chuo chochote au taasisi naweza kujifunza kijerumani au kifaransa?

    KKuhusu online inabidi uwe na jitihada sana mkuu, kijerumani ni kigumu mnooo, ila ukipambana utaweza
  13. proskaeur

    JamiiForums Tanzania Telegram sipokei verification code

    Heshima kwako mkuu, imekubali Kwa kutumia 1.1.1.1, ubarikiwe
Back
Top Bottom