Nisaidie namna ya ku access hii Claude maana nimeingia google nika search then Inataka ni Create account ila Kila niki create account inataka niweke namba ya simu nikifanya hivo Kwa kuweka +255 code ya Tanzania then namba yangu ya simu inasema phone number doesn't exist, nafanyaje mkuu kuepuka...
Ukiangalia kwenye picha hapo, hicho ki penis kimetokezea katikati ya mashavu ya uke, hivyo kusababisha kuwa na gender mbili, na kama mtoto uliyemuona alipokojoa mkojo ulitoka Kwa chini means urethra inayotumika ni ya kwenye vagina na SI kwenye penis
Mkuu hii inaitwa ambiguous Genitalia, ni congenital malformation mtoto anazaoliwa akiwa hivo, but inaweza kuwa corrected kulingana na gender Ipi Iko prominent over gender nyingine, Hilo linakua decided na wataalamu
Tazama picha hapa
Sijui uko wapi mkuu, ila ungelikua Moshi ni rahisi sana kupata Passport, hautoitumia zaidi ya laki 2 kama Kila kitu Kiko sawa, I mean kama Majina ya vyeti vyako e.g cha kuzaliwa na Cha mzazi na Nida zako hayatofautiani huku huhitaji hizo invitation letter, Mimi niliandikiwa barua ya utambulisho...
Muulize supplier wako, hiyo dryer Ina CBM ngapi maana drier Moja haliwezi kufikisha CBM Moja, inaweza ku range kati ya 0.05_0.08cbm, hivyo CBM atakayokuambia unachukua unazidisha na hiyo 430$ hapo utapata bei ya kusafirisha mzigo wako
Silent ocean Meli, CBM Moja 400$,
Mo cargo Meli, CBM Moja 350$, ndege 14$ per 1kg
Yoonek cargo Meli CBM Moja 400$, ndege 13.4$ per 1kg
I hope itasaidia kidogo
Ukishamaliza chuo huwa huwezi ku access SR, lakini ushahidi ni hayo matokeo ya miaka mingine yapo na wakiingia wao wenyewe kwenye mfumo wanayakuta matokeo ya miaka ya mbele Ila mwaka wa kwanza wanasema ndio Kuna hizo changamoto na Wana admit kuwa ni shida yao ndio maana kila Leo wanasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.