Mkuu kwema, Kama physics, chemistry na biology Ana D, mshauri afanye kuomba Radiology ama Dentistry, hizi kozi Zina mkopo kwa level ya diploma, chuo Cha Afya Kibosho kinatoa hizo kozi zote so ni yeye uchaguzi wake asome kozi ipi
Asante
Ila kama unataka maisha, fuata ushauri wa mwamba hapa, tafuta tu mtaji ingia mtaani chakarika, shule haina maana saizi unless ungekua wa kike ningekushauri uka buy time shuleni ila wa kiume bora ukajipambanie kitaa ikiwa bado mapema
Naongea haya nikiwa muhanga wa Degree za Afya bila ajira mwaka...
Kama unataka kusoma fuata huu ushauri, ila ondoa Pharmacy na Medical Lab utapoteza muda wako, nenda na hizo zingine zilizobaki hasa opthalmology, radiograph na dental
Kwema mkuu, sorry uliniahidi kunifundisha hii kitu kutengeneza vipodozi kwenye uzi wa kama unaingiza 30000 kwa siku nadhani utakumbuka ila nilijaribu kukucheki haujanijibu naomba kama utapata nafasi unisaidie
Mkuu naomba madini kwenye hili, nimemfungulia mke wangu saluni ya kike natamani tu introduce hiki kitu ulichokua unakifanya ila sina ABC,
Naomba unielekeze ili nami niwe natengeneza wife aweke saluni mwake
Nitashukuru sana ukinisaidia katika hili
Ahsante
Mkuu suala la kusema hukumwaga eti ndio usiweze kumpa mimba mwanamke si kweli, kuna asilimia kadhaa mbegu za kiume huwa zinatoka in between ya tendo hata kama haujamwaga bado
Ila ni kwa asilimia ndogo sana kuweza kusababisha mimba, maana mara nyingi huwa zinaishia kufia kwenye mazingira ya uke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.