Hii ya dagaa kama utahitaji kufanya, fanya hivi, nunua wale dagaa wa mafuta PURE namaanisha wale waliokaangwa wakiwa wabichi kabisa, then funga kwenye package kadiri utaona inafaa, zunguka mashuleni, supermarket peleka mzigo, lakini pia tafuta connection na manesi mahospitalini ndio mboga zao...