Recent content by Proporis

  1. Proporis

    Usajili taasisi za elimu ya juu ni kero

    Nawezaje kuediri neno usajiri?
  2. Proporis

    Usajili taasisi za elimu ya juu ni kero

    Hivi kweli kwa jinsi tekinolojia ilivyo na mpaka sasa Tanzania tuko 5G bado usajili vyuoni unafanyika kwa kujaza fomu, ujaze fomu zaidi ya 2, uanze kuzunguka kuthibitisha vyeti n.k, kweli? Taasisi za elimu ya juu ndizo zingekua mbele katika matumizi ya tekinolojoa lakini bado mpaka mwanafunzi...
  3. Proporis

    Mwanadamu huenda ameumbwa kuwa na huzuni

    Mengi yanaweza kuwe kweli ila pesa kuwa jawabu la kila kitu sina hakika.
  4. Proporis

    Mwanadamu huenda ameumbwa kuwa na huzuni

    Inawezekana mwanadamu ameumbwa awe na huzuni tu siku zote furaha tunalazimisha? Ukijipima kwa mwezi una furaha mara ngapi na huzuni au majonzi mara ngapi? Kuna magonjwa, misiba, kuudhiwa, makwazo ya maisha n.k
  5. Proporis

    Taifa kwa sasa linahitaji kuwa na kipimo au utaalam unaoonesha mipaka ya utimamu na tatizo la akili

    Kweli watu hawaaminiki na ilo linapelekea tatizo tena hasa unaposhindwa kuhimili kuyabeba mambo yako
  6. Proporis

    Je, tutumie mbinu gani kutenga adhabu kulingana na umri?

    Tunaambiwa tuwa-adhibu watoto kwa kuzingatia umri wake na si ukubwa wa kosa. Je, tutumie mbinu gani kutenga adhabu kulingana na umri?
  7. Proporis

    Taifa kwa sasa linahitaji kuwa na kipimo au utaalam unaoonesha mipaka ya utimamu na tatizo la akili

    Taifa kwa sasa linaitaji kuwa na kipimo au utaalam unaoonesha mipaka ya utimamu na tatizo la akili. Pamoja na kwamba afya ya akili ni tatizo na lipo kama lilivyo tajwa lakini kwa ukosefu wa vituo vya uduma vilivyo karibu na wataalam wanaopatikana kwa urahisi wananchi hawana elimu ya kutosha...
  8. Proporis

    Sehemu za kutembelea hapa Dar

    Pako vizuri sana
  9. Proporis

    Kazi na Hadhi

    Hi JFs'. kumekuwa na kasumba ya watu au kuwa na hadhi katika jamii kwa sababu ya kazi wanazo zifanya hasa kutokana na elimu waliyo nayo. Kwa mfano daktari ataheshimika tu kwa sababu ni daktari ata kama hatibu wala hana kituo cha kutolea uduma. Rubani anapewa hadhi fulani ata kama hana ajira...
  10. Proporis

    SoC02 Upatikanaji wa mlo kwa Wanafunzi shuleni

    Shule kupitia kamati zake wakija na maazimio nq yakapitiwa na viongozi wa serikali kwa maboresho na taratibu zote muhimu zikafuatwa nina uhakika wazazi watalipokea vizuri tu ukizingatia ni kwa maslahi ya watoto wao
  11. Proporis

    SoC02 Upatikanaji wa mlo kwa Wanafunzi shuleni

    Karibuni wadau tusome na kupigia kura, tupush agenda umuhimu wa mlo kwa wanafunzi, wadogo zetu na wanetu.
  12. Proporis

    SoC02 Upatikanaji wa mlo kwa Wanafunzi shuleni

    UTANGULIZI Injini yoyote ili ifanye kazi inahitaji mafuta ya kuiendesha na kuirainisha, hii ni sawasa na mahitaji ya mwili. Mwili ili ufanye kazi unahitaji upate chakula kwa matumizi mbalimbali. Mwili unapopata chakula unaruhusu viungo vyote vya mwili kwa umuhimu wake kufanya kazi zake vizuri...
Back
Top Bottom