Proporis
Member
- Jul 22, 2022
- 12
- 7
Hivi kweli kwa jinsi tekinolojia ilivyo na mpaka sasa Tanzania tuko 5G bado usajili vyuoni unafanyika kwa kujaza fomu, ujaze fomu zaidi ya 2, uanze kuzunguka kuthibitisha vyeti n.k, kweli?
Taasisi za elimu ya juu ndizo zingekua mbele katika matumizi ya tekinolojoa lakini bado mpaka mwanafunzi ateseke tu, na baada ya miaka kadhaa fomu zinateketezwa.
Taasisi za elimu ya juu ndizo zingekua mbele katika matumizi ya tekinolojoa lakini bado mpaka mwanafunzi ateseke tu, na baada ya miaka kadhaa fomu zinateketezwa.