Umeandika nini sasa? Umeitaja bill.20 imefanya nini sasa? Kama unajua si useme. Maelezo umeandika kama mfu atembeaye duniani bila makazi- umepigwa na upofu wa ufahamu hujui unaelezea nini. Kama huwezi kuwasilisha ujumbe kwa watu kaa kimya ujifunze,maarifa yako finyu usitoe hoja inayohitaji...
Kwahiyo aliyekaa pale ukutani ni Askari mwenzao ndiyo maana kaachwa,sasa pale anatafuta taarifa kwa raia?,au ni usalama anatafuta taarifa kwa police? Kama chizi wa kweli hawezi kukaa ina maana aliyekaa anajulikana na police! Sasa kama anajulikana atafanikishaje jambo lake pale.
Unapenda mambo...
Kwa hiyo imewezekana yeye kukaa hapo kisa ni kitengo? Angekua si kitengo asingeweza kukaa hapo!
Huyo kitengo atafanikisha lipi sasa,sababu wamemuacha kwa kuwa wamemjua ni kitengo?
Kikwete alianza urais mwaka 2005, 2015 akastaafu.. leo ni miaka 10 baada ya urais wake. Yeye pekee tu kati ya watu million 60 ndiye mwenye jukumu la kuleta katiba mpya?
Umesema anatumia tsh 5000 kwa siku…hiyo 350000 umeipataje sasa ukizidisha kwa idadi ya siku za mwezi? Au kuna mabadikiko ya idadi ya siku ktk mwezi mmoja?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.