Recent content by Prophet Y

  1. Prophet Y

    Rais Magufuli, Naona Changamoto na mtihani mgumu sana mbele yako

    Kipi kifanyike ili kutatua hayo yote?
  2. Prophet Y

    Hataki nimpe lifti mdogo wake

    Mke ameshagundua kuna dalili za kuchepukaa... Mtafutie nyumba akapange tuu. Maisha yaendelee
  3. Prophet Y

    JamiiForums Shinyanga wing: Ingia humu tujuane

    Jamni Shinyanga kuna fursa gani huko tuje
  4. Prophet Y

    Msaada kuhusu DTB

    Hao DTB sina hata hamu nao... Email address yao feki kwanza. Nikapeleka kwa mkono headquarter kwao huyo secretary jibu na jicho alivyonitolea niliondoka bila hata kuaga
  5. Prophet Y

    Job vacancy at DTB

    Jana nimefika kwenye office zao. Mapokeo tuu ya secretary yamenimaliza nguvu. Amenijibu kwa nyodo nikahisi ninanuka mavi. Kifupi ni ubabaishaji inaonekana watu wemeshawekwa. Wametangaza tuu kutuzingua
  6. Prophet Y

    Urgent: I need data entrants today and tomorrow

    Thanks you for ur feedback be blessed.
  7. Prophet Y

    Urgent: I need data entrants today and tomorrow

    Hello kanyagio I have send my cv and certificates but no feedback
  8. Prophet Y

    Job vacancy at DTB

    Peleka application letter yako moja kwa moja makao makuu
  9. Prophet Y

    Nafasi za kazi BoT

    Jamani aliyeelewa vizuri hizi qualifications. Kwa Graduated anaweza kutuma maombi?
  10. Prophet Y

    Nafasi za kazi BoT

    Hapo penye overqualification hapooo. So waliomaliza chuo wasi apply or?
  11. Prophet Y

    Coca Cola Kwanza (GIT2015)

    Hata Mimi pia nasubiriaaa sijui watatuitaa au ndio wameshapeana wenyewe kwa wenyewe.
Back
Top Bottom