MLianza na 20, 30, ikaja 50, ikaja 80, sasa hivi 100k
Laki moja imekuwa sasa kama trend.
Tena hamjali hata hali ya mtu kisa tu ni rafiki au ndugu
Hivi haya yootee ya nini, jamani,
Si mchukuane mpelekane nyumbani hivyo hivyo kwani lazima mrushe watu roho mjini humu na matarumbeta?
Kwanini dharau zinakuwa nyingi kutoka kwa wadada wa aina hii?
kuna shida gani tukajenga wote maisha tokea chini? Kwani ni lazima unikute na gari tayari?
Hatutaki wa aina yenu wa telegram, tunataka mkiwa warembo mtukabalie na tutawafanyia makubwa mambo yakiwa makubwa.
JF ni uwanja wa vita
Unaweza ukaandikia wapi habari ndugu zangu
Majibu utakayokutana nayo unaweza kusema JF imeruhusiwa pale milembe hosp.
Anyway maisha yaendelee😁
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.