Recent content by PROFOUND NOTION

  1. PROFOUND NOTION

    JamiiForums Tanzania Hii michango ya harusi laki moja mnayoweka kwenye kadi tena bila option ya kuchagua ya size yako tutaonana wabaya aisee

    MLianza na 20, 30, ikaja 50, ikaja 80, sasa hivi 100k Laki moja imekuwa sasa kama trend. Tena hamjali hata hali ya mtu kisa tu ni rafiki au ndugu Hivi haya yootee ya nini, jamani, Si mchukuane mpelekane nyumbani hivyo hivyo kwani lazima mrushe watu roho mjini humu na matarumbeta?
  2. PROFOUND NOTION

    JamiiForums Tanzania Majohe: Zaidi ya Masaa 24 Bila Umeme, Tanesco Hamtoi Taarifa Wala Majibu, Tatizo Nini?

    Acha ufala pumbavu wewe Hapo kwa shemeji utaondoka tu
  3. PROFOUND NOTION

    JamiiForums Tanzania ATTENTION kwa wanawake ndio SEX kama ilivyo kwa wanaume

    We omba namba ukalambe jagina Maneno mengii ili eti hao watoto wakuone eti hauna shobo kumbe umwedinda na vaseline unayo pwmbeni😁
  4. PROFOUND NOTION

    JamiiForums Tanzania Ni kipi bora ambacho Nyerere hakuna wa kumlinganisha nae hadi sasa?

    Tanzania, Tanzania, Nakupenda kwa Moyo wote. KARIBUNI
  5. PROFOUND NOTION

    JamiiForums Tanzania Makosa ya Umri wa Miaka 20

    Chai ya maziwa tena ya baridi
  6. PROFOUND NOTION

    JamiiForums Tanzania Aisee kuna mtu yupo Velvet Sinza hapa, unayaona ninayoyaona sasa hivi? Ni full kufuru aisee

    Yaani ni makebo juu ya makebo, tena hadi mtu anakatakiwa usoni kabisaa sura haionekani😁 Ngoja niwahi nyumbani aissee
  7. PROFOUND NOTION

    JamiiForums Tanzania Kwisha habari yao. Simba wamekubali kuingia change room wasipofungwa leo nipigwe ban ya week

    Aisee ila nyie vijana wa JF kwamba adrizi ni kinembee 🤪
  8. PROFOUND NOTION

    JamiiForums Tanzania Nihame kiwanja Nina Toto Lina makebo balaa

    😁😁 ila bwana makebo ameshakubali tu kuwa jina lake ni matacko na maisha yaendelee tu Chizi Maarifa
  9. PROFOUND NOTION

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini mdada wa aina hii asikukubali tu kwa hali ya kawaida uliyonayo mjenge pamoja maisha? Kwanini sisi wapambanaji wa chini ni ngumu kuwapata?

    Kwanini dharau zinakuwa nyingi kutoka kwa wadada wa aina hii? kuna shida gani tukajenga wote maisha tokea chini? Kwani ni lazima unikute na gari tayari? Hatutaki wa aina yenu wa telegram, tunataka mkiwa warembo mtukabalie na tutawafanyia makubwa mambo yakiwa makubwa.
  10. PROFOUND NOTION

    JamiiForums Tanzania Ushawahi kukata tamaa kuwa siingii JF tena halafu zikapita siku 3 au 4 ukarudi mwenyewe bila kuombwa?

    JF ni uwanja wa vita Unaweza ukaandikia wapi habari ndugu zangu Majibu utakayokutana nayo unaweza kusema JF imeruhusiwa pale milembe hosp. Anyway maisha yaendelee😁
  11. PROFOUND NOTION

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Hawa ndio kuku na mayai yao tunalisha familia zetu. Nawaonea wivu watu wa mikoani kuwa na access na kuku wa kienyeji kila kona na kwa ukaribu

Back
Top Bottom