Recent content by Prof T Johannes Chacha

  1. Prof T Johannes Chacha

    Mjadala juu ya Mustakabali wa Akili Mnemba (AI)

    Thanks for quoting this. Ngoja nikakisome hicho kitabu then tunaweza jadili mambo machache.
  2. Prof T Johannes Chacha

    Mjadala juu ya Mustakabali wa Akili Mnemba (AI)

    Tukikaa kwa kutulia mambo mengi ya msingi yatatupita. Kama tumepitwa na mapinduzi ya viwanda, je tuendelee kutulia au tujaribu kupiga mbio?
  3. Prof T Johannes Chacha

    Mjadala juu ya Mustakabali wa Akili Mnemba (AI)

    Wakati wengi wanakubali kuwa Akili Mnemba (AI) ina uwezo wa kuleta mapinduzi ya viwanda na kuboresha maisha, kuna wasiwasi unaoongezeka juu ya athari za kimaadili na usalama wa maendeleo yake ya haraka. Tarehe 25/09/2024 itakumbukwa sana katika historia ya dunia kama siku ambayo mabadiliko...
  4. Prof T Johannes Chacha

    Namna ya kujaza form online ya TaeSA

    Nakushauri uende ofisi zao ujaze fomu kabisa. Itakuwa rahisi pia wao kukusaidia kupata nafasi mapema. Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
  5. Prof T Johannes Chacha

    Ganga Zumbi was born in Congo 1630 taken as a slave and made himself King of Palmers

    I would appreciate more information about this historical figure. [emoji120]
  6. Prof T Johannes Chacha

    Nilikutana na Mariamu kwenye gari moshi

    Nimegundua Jambo moja, una kipaji cha uandishi. Work on it brother.[emoji122][emoji122][emoji122]
  7. Prof T Johannes Chacha

    Fahamu kuhusu kada ya Biotechnology (bioteknolojia) na majukumu ya wataalamu wa Bioteknolojia

    Wapo, hawajulikani rasmi...hawana bodi na leseni. Japokuwa chuo kikuu cha Dar es Salaam na chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine inatoa hizi kozi
  8. Prof T Johannes Chacha

    Uwezo wa wataalam wa Bioteknolojia na Microbiolojia

    Siasa imekuwa maisha. Watu wanatumia lugha za sanaa kuwadanganya mamia ya watu na wasomi wakifuata kama kondoo.
  9. Prof T Johannes Chacha

    Fahamu kuhusu kada ya Biotechnology (bioteknolojia) na majukumu ya wataalamu wa Bioteknolojia

    Thread starterDyf Start dateMonday at 5:51 PM Dyf Senior Member Monday at 5:51 PM Utangulizi Bioteknolojia ni aina ya teknolojia inayotumia elimu ya biolojia kwa manufaa ya binadamu. Ni teknolojia ya uvumbuzi wa mambo mbalimbali kwa manufaa ya binadamu, kwenye upande wa afya, kilimo...
  10. Prof T Johannes Chacha

    Uwezo wa wataalam wa Bioteknolojia na Microbiolojia

    Nimekuelewa mtaalam, umenena vyema. Ni jukumu letu kuendelea kupaza sauti mpaka kieleweke.
  11. Prof T Johannes Chacha

    Uwezo wa wataalam wa Bioteknolojia na Microbiolojia

    Kuna mdau wa JF alisema hawawezi tengeneza dawa. Ok Nitaelekeza kwa mifano Hakuna pharmaceutical compound inayoweza tumika kwenye mwili bila kua na knowledge ya drug target (receptors, ligands, Au microbial cellular parts kama cell walls, plasma membrane, Nucleus, au nucleic acid target) na...
  12. Prof T Johannes Chacha

    Fahamu kuhusu kada ya biotechnology (bioteknolojia) na majukumu ya wataalamu wa bioteknolojia

    Kwa kuongezea, hakuna pharmaceutical compound inayoweza tumika kwenye mwili bila kua na knowledge ya drug target (receptors, ligands, Au microbial cellular parts kama cell walls, plasma membrane, Nucleus, au nucleic acid target) na mtaalamu wa kusoma hizo drug targets ni MOLECULAR biologist na...
Back
Top Bottom