Recent content by Prof Kibogoyo

  1. Prof Kibogoyo

    House4Sale Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa bei ya kutupwa

    Nina maana ya Bei yake ni ya kawaida
  2. Prof Kibogoyo

    Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?

    Akili za kijinga hizi, wewe utakuwa wa kuja.... Taja wilaya Moja ambayo haina shida kama hiyo nikutumie Sasa hivi milion 100
  3. Prof Kibogoyo

    House4Sale Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa bei ya kutupwa

    Hiyo ni Bei nje ya vitu vya ndani. Ukihitaji vitu vya ndani Kuna mazungumzo
  4. Prof Kibogoyo

    House4Sale Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa bei ya kutupwa

    NYUMBA NZURI YA KISASA INAUZWA BEI YA KUTUPWA. INA HATI MILIKI. IPO KIGAMBONI MWEMBE MTENGU. BEI NI MILION 160 TU 0744993715 SIFA YA NYUMBA. Vyumba vinne vya kulala kimojawapo ni Master kubwa sana yenye makabati, jacuzzi AC, Dinning, Sebule kubwa, Jiko zuri lenye Makabati, Stoo & Choo/Bafu vya...
  5. Prof Kibogoyo

    Usinunue kiwanja Temeke au Mbagala kama wewe hupendi uswahili, utajuta!

    Uzuri ni kwamba wote wanaondika mada hizi za kupondea sehemu, hawana hela, uwezo hata wa kununua kiwanja chamazi tu hawana. Mtu mwenye milion 50 tu bank hawezi kuwa na mawazo ya kijinga kama haya. Hawa ni watoto hawajui maisha hata Dar na viunga vyake hawavijui, huko mnako kusifia Goba imejaa...
  6. Prof Kibogoyo

    Goba ni ushuani kuzidi Temeke na Chamazi

    Nyinyi wapuuzi mnaoshindanisha maeneo hamna hata vibanda, mkipanga vyumba vya 40 huko Goba mnakuna kututambia hapa. Karibuni Vikindu huku Kuna rahaa yake, nina heka nzima nimezungusha fence ndani Kuna miwa, miembe, mipera, papai, mboga mboga, parachichi, ndimu, nyanya chungu, Sasa nyie endeleeni...
  7. Prof Kibogoyo

    Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

    Umenikumbusha kwetu. Bunda nyasura, machimbo yaliwahi kuibuka hapo Nyasana
  8. Prof Kibogoyo

    Maumivu baada ya kukojoa

    Kaswende hiyo au Gono
  9. Prof Kibogoyo

    Kipi kianze, kujenga nyumba au kununua gari la kutembelea?

    Laki nane Bado unakipato kipato kidogo sana, wewe endelea kupanda daladala
  10. Prof Kibogoyo

    Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?

    [emoji23][emoji23][emoji23] Jamii forum bwana, humu kila mtu wa kishua. Usikute unaandika haya ukiwa hapo Buguruni Malapa Kwa shemeji yako.
  11. Prof Kibogoyo

    Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?

    Mbagala unaijua vizuri wewe au unaandika tu kwa kusimuliwa. Leo Mbagala rangi 3 unaijua Bei ya fremu? Bila milion 1 hupati frem, Kijichi Bado ni Mbagala lakin Kiwanja mpaka milion 100, hiyo Zachkem hupati kiwanja, lazima umvue mtu bila milion 200 hutoi mtu wewe unaongea nini
Back
Top Bottom