Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,047
- 3,775
Mjini mipango, angalia kipato chako na ndoto zako! Wahindi wanamiliki billions kwenye acc lakini hawajengi nyumba wanaishi NHC ! Jiongeze
Inategemea na ulipo,
Kama Ni dar,nunua gari kwanza
Kama Ni mkoani, Jenga kwanza
Hiyo hapo chini ni definition ya fixed asset , nazani huelewiNyumb siyo fixed asset mfano ikipigwa radi au kuungua moto
Bora umemjibu Mimi niliamua kumpuuza tuUwezekano ya kutokea hayo kwenye nyumba ni PROPABILITY ila kutokea hayo na mengineo kwenye gari ni POSIBILITY
imagination zako ni ndogo yani unashindwa kuchakata uwezekano wa ajali wa nyumba na wa gari
Sent using Jamii Forums mobile app
Aha haya mambo ya fixed cost sijui fixed input,profit of maximazation na takataka zingine zote nafahamuHiyo hapo chini ni definition ya fixed asset , nazani huelewi
- assets which are purchased /made for long-term use and are not likely to be converted quickly into cash, such as land, buildings, and equipment.
HahahahNunua gari ya maana Kuanzia 40mil Kam anayoendesha Mshana Jr
Au Jenga nyumba ya maana yenye viwango vya Mchizi was east zuu Mangwea
Usifanye vitu vya kununua sijui Ist au kujenga nyumba za Ajabu
Bora uendelee ku-make pesa ununue kiwanja Sehemu nzuri
likoje iloIpo roho kitu inapenda muzee.....Nyumba ama Gari kipi muhimu kuanza nacho Kwa kijana wa sasa? Wakubwa Mje hapa tupate mawazo yenu chanya yatusaidie vijana wadogo.
Kwahiyo wewe unaamini watu wote wasiokua na nyumba, wanaishi nyumba za Kupanga."Siyo kila asiyekuwa na nyumba ni mpangaji" hapa unaishi nje au hotelini?
si ndio hapo katoa kauli tata,"Siyo kila asiyekuwa na nyumba ni mpangaji" hapa unaishi nje au hotelini?
Vits jamani ni kubwaKama uchumi wako ni WA kawaida na gari Lako ninla kwanza huwa nashauri watu wanunue vigari vidogo visivyotumia mafuta mengi halafu uwe Una upgrade Magari makubwa taratibu!
Kama Uchumi wako ni WA kawaida ukianza na Magari makubwa utajuta
uchumi wa kawaida ni upi mkuu...Mimi napokea laki nane na nusu bado huo uchumi hauruhusu kununua gari?Kama uchumi wako ni WA kawaida na gari Lako ninla kwanza huwa nashauri watu wanunue vigari vidogo visivyotumia mafuta mengi halafu uwe Una upgrade Magari makubwa taratibu!
Kama Uchumi wako ni WA kawaida ukianza na Magari makubwa utajuta
Zipo nyingi sanaHakuna nyumba ya 12M zinaanzia 45M+ wakati gari hata 10M unapata
Laki nane Bado unakipato kipato kidogo sana, wewe endelea kupanda daladalauchumi wa kawaida ni upi mkuu...Mimi napokea laki nane na nusu bado huo uchumi hauruhusu kununua gari?
Hela ya kununua gari ilikuwepo ila ya kuihudumia sasaLaki nane Bado unakipato kipato kidogo sana, wewe endelea kupanda daladala